Madaktari bingwa Muhimbili Watangaza mgomo rasmi

Wanachonifurahisha hapa ni "sababu ya kugoma" Wengine " wakati ma dr wakawaida wanadai maslai bora specialist wao aaah "hatuwezi kufanya kazi peke yetu" kwa hiyo wakiletewa watu watanya sio
Ndiyo nini hapo pekundu?
 
Madaktari bingwa hospitali ya muhimbili wametangaza kuanza mgomo rasmi mchana huu kwasababu yakuelemewa na kazi na kudai kua hawatoweza kufanya kazi bila ya wasaidizi.SOURCE ITV HABARI ZA SAA.
 
Ngoma inogile.

kuda dadeki imebaki manesi bado kidogo time will tell watesema hawana utaalamu wa kutibu wagonjwa kwani kazi yao ni kufuaata maagizo ya madocta.
cheza na wasomi jk anafikiri udocta wake ni sawa na wa ulimboka

 
Hiyo ndo vita ya ukweli madaktari kuliko mngetishwa na kufukuzwa kazi na mambo ya magwe pande

HIVI J.K KASOMEA NINI VILE?..............
:wacko:
 
Dhaifu will perfom his ritual services of threats and blames instead of work his dull mind for some solutions. If nurses happen to join hands then the conditions will so demand we go to absolutes i.e. dealing Dhaifu and his silly party to the decks.

Indeed since the government has lost all it power to solve peoples problem? The only alternative is Threat, Intimidation and on its peak? Nail and teeth extraction ..!! The new way of solving Tanzanians critical problems.
 
Hizii ni zama za Kumwaga mboga mwingine anamwaga ugali. Msitu wa pande umeachama unahitaji mlo.

Chonde chonde Dr. Chitage una ulinzi wa kutosha baba. Bado tunakuhitaji kulisongesha wakati huu mpiganaji yupo South Afrika.
 
Nafikiri serikali irudi nyuma na kulitafakari hili suala upya.. Inawezekana wakalitibua zaidi badala ya kurekebisha.. Kumbuka vitisho vya namna hii vilifanikiwa enzi za mwalimu lakini kizazi cha sasa kina namna tofauti ya kupokea vitisho hivyo.. Ikumbukwe pia hao madaktari walitegemea hili la kufukuzwa, kwaiyo tayari watakuwa na plan B. Seikali ikumbuke pia kwamba, jinsi mgomo wao unavyozidi kupata umaarufu itafika wakati ambao itakuwa "too late" kwa serikali kujaribu kurekebisha hii hali.

Kumbuka ubabe wa madaktari na Serikali ndio unaotumaliza sisi tulio wanyonge. Busara inahitajika zaidi katika kutatua hili.
 
Duu, mbona wameielewa vibaya hotuba, au wameshapata kazi sehemu zingine? Kama mwajiri wako hataki kukulipa unachokitaka kwa nini unamlazimisha?
Nadhani wewe ndio huwaelewwi vizuri madaktari. Hawamlazimishi ila wanaeleza ukweli wao kwa kadiri wanavyojua. Wamewafukuza maintern ambao ndio uti wa mgongo wa ufanyaji kazi hospitalini popote penye hadhi hiyo ya kuwa na maintern. Sasa unataka mabingwa wafanye clarkship na kufukuzia majibu ya maabara? Kama ungejua kazi za maintern ambazo serikali inazisogeza kwa mabingwa wala usingeeleza uliyosema. Mabingwa wanaona wagonjwa wachache tu kwa siku na ni wale walioshindikana kwa wengine. Kazi wanazobebeshwa sasa walishazipitia zamani na wanajua maumivu yake.
 
Wanachonifurahisha hapa ni "sababu ya kugoma" Wengine " wakati ma dr wakawaida wanadai maslai bora specialist wao aaah "hatuwezi kufanya kazi peke yetu" kwa hiyo wakiletewa watu watanya sio

Kweli kuna watu na viatu, kuna kitu cha kufurahisha kwenye hii issue kweli?
 
Back
Top Bottom