Recent content by Full charge

  1. Full charge

    GE2025 Ewe mwananchi kapige kura kisha urudi ukale ugali nyumbani!

    Umeandika kwa kuwadharau sana mwananchi
  2. Full charge

    'Abdul wa Mama' iko siku atakimbia nchi!

    Hawa ni pigo kama za Bukinafaso wanapokonywa kila kitu kwa nguvu bila kufuata sheria
  3. Full charge

    Polepole atueleze kuhusiana na watu au kikundi cha watu wasiojulikana almaarufu kama watekaji

    Habari wadau,binafsi nimemskiliza sana bwana Haphley Pole pole juu ya mambo yanayoendelea nchini kuhusiana na utawala uliopita na huu wa sasa wa Samia. Bila kumpinga wala kumkubali jamaa atueleze kuhusiana na watu au kikundi cha watu wasiojulikana almaarufu kama watekaji (wauaji). Hamphley...
  4. Full charge

    Mke na watoto wa Tundu Lissu hawajawahi kuonekana Mahakamani, je hii inaashiria nini?

    Unataka uwafanye nini au muhusika halijui hili?
  5. Full charge

    Hapa Maulid kamaanisha Ulaya ipi hiyo?

    Mimesoma chapisho lake kwenye mtandao wa Instagram akizungumzia uhamisho wa Kennedy Musonda aliyekuwa mchezaji wa club ya Yanga ambaye kwasasa katimkia timu moja huko Israel. Maswali niliyojiuliza baada ya kusoma chapisho lake lote ni haya hapa tusaidiane kujiuliza: Je Maulid hakusoma...
  6. Full charge

    Ushauri: Nataka kuhamia Tanga

    Sijakupata kidogo mkuu?🤷‍♂️
  7. Full charge

    Ushauri: Nataka kuhamia Tanga

    Nimefanya sana biashara hapo tangu 2005 mkuu ila bado sijabahatika kutoboa mkuu
  8. Full charge

    Ushauri: Nataka kuhamia Tanga

    Naona vijana wengi wa Tanga hukimbilia Dar je hii siwezi kuitumia kama fursa?
  9. Full charge

    Ushauri: Nataka kuhamia Tanga

    Ni mkoa imani yangu inanituma huenda nikatoboa japo sababu kuu nmeitaja kwenye uzi
  10. Full charge

    Ushauri: Nataka kuhamia Tanga

    Nimetokea kuupenda mkoa huo japo sijawahi kufika,kuhusu kazi naweza fanya yoyote japo nina mtaji ila si mkubwa ingawa unaweza kwa biashara isiyo kubwa sana
  11. Full charge

    Ushauri: Nataka kuhamia Tanga

    Habari wakuu na wadau wa jf,hope mko fine. Mimi ni kijana mwenye miaka 38+ naishi mkoa wa Shinyanga kunakosifiwa kwa wingi wa madini japo mimi pesa ya madini siifaidi kabisa pamoja na kujihusisha kwa muda wa miaka mwingi. Nina familia ya mke na watoto 3,sasa nimekaa nikafikiri nakuona nihamie...
  12. Full charge

    Simba wasiwasahau Kayombo, Smart, Tatu Malogo na Elly Sasii wakati wa kufanya usajiri wao dirisha kubwa

    SIMBA MNAJIFICHA KWENYE TIMU 8 UTAFIKIRI HUKUPIGWA NA YANGA NA HAKUDHAMINI SASA😁
  13. Full charge

    Simba wasiwasahau Kayombo, Smart, Tatu Malogo na Elly Sasii wakati wa kufanya usajiri wao dirisha kubwa

    SIMBA MNAJIFICHA KWENYE TIMU 8 UTAFIKIRI HUKUPIGWA NA YANGA NA HAKUDHAMINI SASA😁
  14. Full charge

    Muhimbili: Eng Matala avamiwa na kuchinjwa. Aponea chupuchupu

    Nenda Burundi tu chuma nje nje unapata tu kiroho safi achana na maprocess yao
Back
Top Bottom