Bora ukose vingine laini usikose akili.hv chadema wataandamanaje kwenda kwa dc?ccm wasiogope mwaka huu lazima lowasa awanyooshe mkae sawa.ccm mnawadnaganya wananchi kwa tshirt na kofia ?wat ameichoka ccm.watakaoipigia ccm ni wale wajingawajinga na wasio makini
Ccm ieleze namna itakavyotekeleza ilani kwa mwaka ujao na siyo kumchafua lowasa.wananchi wa sasa siyo wale wakugawiwa kofia na tshirt.mabadiliko ni lazima
Usisime ni shirika limedhamini bali kuna chama kimemdhamini DR SLAA.Tatizo ni uraisi.Ukimpima DR Slaa na Lowasa ,Lowasa anamuacha Dr Slaa mbali sana.Lowasa hoeeeeeeeeeeeeeeeeee.
Nalaani baadhi ya wagombea wanaoeneza propaganda za ukanda.hizi ni kampeni za chuki tuwaogope kama ukoma.vyama havundwi kiukanda watanzania tuwaaangalie sana watu wa namna hii
Matusi kwetu mwiko.Huwezi kuchukua dola kwa kuwaeleza wananchi kuwa viongz ni wapumbavu na Malofa.Sera za UKAWA zitakubalika na siyo matusi.UKAWA hoeeeeeeeeeeeeeee
Mpango wa kuwadanganya wa tz kwa hiyenahiyena unachukua nchi then watu wanabaki hawana maendeleo umekwisha.watu wanataka mabadiliko ya kweli.siyo ubabaishaji wa kugawa kanga na tshirti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.