Recent content by From Sir With Love

  1. From Sir With Love

    Msaada juu ya rejesho la jumla la mkopo benki X kuzidi makato

    Inawezekana kuna ada tofauti tofauti ambazo wameweka. Lakini ni vizuri na busara kuwaomba wakupe statement/muainisho wa makato kwa kila mwezi hadi unamaliza mkopo. Hiyo statement itakupa mwongozo kwa sababu itaainisha makato yote.
  2. From Sir With Love

    Msaada juu ya rejesho la jumla la mkopo benki X kuzidi makato

    Ukitaka kusaidiwa vizuri, andaa hesabu zako vizuri. Mkopo uliochukua - hujaweka bayana Marejesho kwa kila mwezi - 138,000 Marejesho kwa mwaka - 138,000 *12 months = 1,656,000 Marejesho kwa miaka nane 1,656,000*8 = 13, 248,000 Kwa maana hiyo wamekupa document ya jumla ya marejesho 13,520,000...
  3. From Sir With Love

    Basi la Tahiliso kunikataa na makondakta na dereva bila hata ya ubidamu kuniamuru

    Daudi Mchambuzi: muonee jamaa huruma. Ameshindwa kuwasilisha ujumbe wake ili watu wamuelewe.
  4. From Sir With Love

    Kwanini tukio liwe karibu na Ubalozi wa Ufaransa?

    Kama kweli jamaa ni gaidi, basi kiuhalisia jamaa ana moyo mzuri. Sijui kilichombadilisha ni kitu gani mpaka akawa hivyo. Kwa sababu angependa angeuwa watu wengi zaidi.
  5. From Sir With Love

    Kwanini tukio liwe karibu na Ubalozi wa Ufaransa?

    Nakupata, lakini pia kumbuka pale kwenye kibanda kuna askari alijaribu kumfikia na kumpiga risasi kwa bastola lakini kwa bahati mbaya yule askari akapigwa risasi ya mguu au kiuno ( sina uhakika). Ila naanza kuamini jamaa sio gaidi, kwa sababu angependa kumumaliza yule askari aliyempiga mguu...
  6. From Sir With Love

    Basi la Tahiliso kunikataa na makondakta na dereva bila hata ya ubidamu kuniamuru

    Kilaba: nimejaribu kusoma ulichoandika, lakini sijafanikiwa kukuelewa. Ili watu wakuelewe ungerudia ulichoandika na usahihishe ili ueleweke.
  7. From Sir With Love

    Nimepata ajira wife ameongeza matumizi ya pesa zaidi ya mara mbili

    Mimi sikuelewi na sijui shida yako ni nini! Ila kwa sababu una akili nyingi, ngoja nikuache.
  8. From Sir With Love

    Kwanini tukio liwe karibu na Ubalozi wa Ufaransa?

    Mimi ninaomba siku moja uende range halafu upande gari inayotembea na upewe target. Kaka ni ngumu. Ndiyo maana hawa jamaa wanatakiwa kufanya mazoezi kila mara.
  9. From Sir With Love

    Kwanini tukio liwe karibu na Ubalozi wa Ufaransa?

    Mimi na wewe tunawaza kitu kimoja, lakini alipopigwa risasi alikuwa amebaki na bunduki moja na inawezekana alikuwa na ile bastola yake bado. Baada ya kumpiga na kudondoka, cha kwanza kabisa ni kuchukua silaha yake kama yule askari alivyofanya, lakini pia ilitakiwa kumgeuza na kumsearch kama ana...
  10. From Sir With Love

    Kwanini tukio liwe karibu na Ubalozi wa Ufaransa?

    Yah kabisa mkuuu, japo nadhani walikuwa wanazuia secondary threat ndiyo maana wakawa wanamuongeza risasi. Secondary threat hutokea iwapo mnadhani mtu amekufa ilhali kumbe anawalia timing msogee ili achomoe bastola awamalize.
  11. From Sir With Love

    Kwanini tukio liwe karibu na Ubalozi wa Ufaransa?

    Nimesahihisha hapo juu kwenye updates. Inasemekana kuna raia sita wamepata madhara japo sidhani kama yule gaidi alikusudia kuwauwa.
  12. From Sir With Love

    Kwanini tukio liwe karibu na Ubalozi wa Ufaransa?

    Ni ambush kweli, japo askari waliamini jamaa ana shida kweli, lakini kumbe alikuwa ana lake kichwani. Yule askari aliyepigwa bega kumbe alikuwa anakimbia ndiyo akawashwa ya nyuma na kudondoka akikimbilia baharini.
  13. From Sir With Love

    Kwanini tukio liwe karibu na Ubalozi wa Ufaransa?

    Ninachoelewa mimi, hata mtu awe mlenga shabaha vipi, kulenga mtu anayetembea ni kazi kubwa na hasa unapolenga na kujibanza kwa kuibia.
  14. From Sir With Love

    Kwanini tukio liwe karibu na Ubalozi wa Ufaransa?

    Mudawote: Sio uzembe wa askari. Kumbuka pale askari wanapokaaga ni kibanda cha nje upande wa baharini, na watu huwa wanapita pale. Kuna bodaboda mmoja alimgonga mtu maeneo ya pale pale leo, baada ya askari kupima ajali, askari akamwambia bodaboda aache pikipiki hapo ili ampeleke aliyemngonga...
Back
Top Bottom