hivi kuna ukweli wowote kama umepata mimba ya kwanza alafu mwanaume akaja kukuingilia ni jambo baya na laana???
naomba minjulishe ukweli wa hili FaizaFoxy masai dada rubii Numbisa Miss Natafuta Money Penny lara 1 Shadeeya Madame S mahondaw
Ni kweli hatukatai lakin tunachopinga ni hawa watu kueneza habar ambazo hawana uhakika kwa maslahi yao wanayoyajua
Najiuliza tu hivi angeanza kufa k huu ufukunyuku na uzushi ungekuwepo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.