#Hapa kazi tu,hiiiii Tanzania yetu ni shamba la bibi watu washapiga gesi mapema leo mnatuambia tukanunue umeme Ethiopia kweli hamna uchungu na nchi,Mawazo ya Ccm hayana future tuwaruhusu na upinzani watupe mawazo mapya huenda wakawa na maono mazuri ya kuondokana na mgao wa umeme,Tuweke siasa...
Bado hata dagaa zitapanda bei kikombe buku2 ili tukome C ndo mboga yetu Watanzania,hili litakua fundisho Ili tujue ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.