Recent content by fredy.j.kudaa

  1. F

    JamiiForums Tanzania Picture messages

    asante chaguo langu la picha yenye msg tamu ya mwaka
  2. F

    JamiiForums Tanzania Habari na Picha: Rais Kikwete akitoka hospitalini akiwa ameambatana na Mama Salma Kikwete

    Nashauri kila anayehusishwa na uhujumu wa namna yeyote wahojiwe wazi mbele ya waandishiwa habari ili uchumi naisha bora ya kila mtanzania yaimarike au tutoe tender duniani tz inatafuta nchi au kampuni kutuendeleza na kutusimamia..shame on us
  3. F

    JamiiForums Tanzania Habari na Picha: Rais Kikwete akitoka hospitalini akiwa ameambatana na Mama Salma Kikwete

    pole sana mh.rais ugonjwa ni ugonjwa but kama umefanya operation kwa wakati huu sababu ya kutafuta kura ya huruma yasijadiliwe yaliyoibuka pl's come back face it uyamalize mi naamini unaweza ukayaweka sawa yote haya BECOUSE TUMEKUPA POWER USE IT MR.P , tumia power yako kumrithisha anayefaa bila...
  4. F

    JamiiForums Tanzania Julias Malema kasema mwanasiasa kijana anayemuheshimu Afrika ni Zitto Kabwe

    mpmpo unawapoteza watu kwa chuki binafsi kwanza kwa kukufahamisha mimi sina chama ila naunga mkono baadhi ya sera za vyama na baadhi ya wanasiasa tena wachache sana kwa tanzania yetu, zitto ukimpnga unajitia aibu wala usikae kwenye kikao au baraza au labda wasiotaka kuelewa chadema imepara...
  5. F

    JamiiForums Tanzania Sasa nimeanza kumuelewa mh. Zitto Kabwe

    nitapinga hadi kufa mwisho wa uhai wangu ttcl kuuzwa kwa mtu yeyote iboreshwe iendelezwe
  6. F

    JamiiForums Tanzania Sasa nimeanza kumuelewa mh. Zitto Kabwe

    umefika ule muda wa kuchafuliana kikwelikweli mzee XX na master mind wako JIANDAENI na mh.XX na wenzako wenye NIA YA URAIS FILE NDIO ZINAFUNGULIWA kila siku kaeni pembeni.. inaTosha mshauza nchii, haina dira hata somalia wakitulia leo kesho watakuja kuwa wawekezaji wetu sio wakimbizi mbali...
  7. F

    JamiiForums Tanzania The 500 Influential Tanzanians under 45yrs who are changing the world

    safi sana tunataka wazalendo waliong'ara humu humu ndani tusiwasahau na marehemu akina amina chifupa ect
  8. F

    JamiiForums Tanzania The 500 Influential Tanzanians under 45yrs who are changing the world

    mshkaji amenishtua alioki kazaliwa kati ya 77/78 na pia alibuni vipindi vingi na aliwahi kufanya kazi dtv
  9. F

    JamiiForums Tanzania The 500 Influential Tanzanians under 45yrs who are changing the world

    alioki founder pruducer na director wa kipindi maaruf zamani kitimoto cha television kilikuwa kinatangazwa na pascal mayala nakumbukumba hiki ndicho kilikuwa kinaogopwa na viongozi wengi wa serikali bring it back man huyu jamaa sijamsikia tena yeye wala vipindi vyake wala hata kutajwa kama ni...
  10. F

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete afanyiwa upasuaji wa tezi dume Marekani, hali yake inaendelea vyema

    inawezekana ikawa sababu za kiusalama huyu ni rais hajiamulii yote yeye
Back
Top Bottom