Recent content by fredrickjanga

  1. F

    Baada ya tarehe 25 October, Tusilaumiane!

    Naanza kuwatahadharisha watanzania wote, baada ya uchaguzi mkuu tusilaumiane: Nimeona wasanii sasa hivi wanajikomba CCM, baada ya uchaguzi ndio watagundua kwamba serikali bado haiwajali, Tusilaumiane! Naona bado kuna wakinamama wenye shida za kutupwa, bado wanasema CCM ni nzuri, baada ya...
  2. F

    Wimbo wa CCM ni ileile oooh ni ile ileee, usitumike Kwenye Kampeni

    Jamani, wameshasema na wanaendelea kuimba kila siku, CCM ni ile ile, mambo ya mabadiliko ni kufurahisha umati tu. Nadhani wala tusipoteze muda kuifikiria CCM watanzania. Imeshachoka, na wako busy kufikiria namna ya kuendelea kuila nchi. Mabadilikooooooooooooooo.....................
  3. F

    Rangi ya kichwa cha uume ni cheupe kama mzungu

    Kuna kijana, au ni wewe?:wink::wink::wink::wink::wink:
  4. F

    CCM waumbuka Uwanja wa Taifa, Makamba akumbana na nguvu ya UKAWA

    Wakuu mmeamua kuminya hata jina lenu la chama CCM, mnanadi mtu? Kweli hali ngumu.
  5. F

    Imegundulika: Video clip mlizomzushia Dr. Slaa ni uongo mtakatifu

    Halafu jamani, DK. Slaa, hili la kuona kwamba kila hoja iliyokinzani na wewe, inatokana na watanzania wasio na upeo, kwakweli inaudhi. Kwanini unajiona wewe ndio mwenye upeo peke yako? Just because, some of us are silent, it does not mean that we are stupid. Inaudhi sana kujiona wewe tu ndio...
  6. F

    Tunaahidi! Tunaahidi! CCM mtaahidi mpaka lini? Oneni aibu.

    Nashangaa sana kuwasikia CCM wakiendelea na lugha ya "tunaahidi". Mtaahidi mpaka lini? Mbona hamuoni aibu? Leo hii eti kwa dar es salaam wanaahidi afya bora, maji nakadhalika. Jamani, hamuoni aibu? Kwani miaka yote mlikuwa wapi? Tuambieni mmefanya nini, mambo ya kuahidi waachieni UKAWA...
  7. F

    Tundu Lissu: Dr. Slaa ni muongo, watanzania mpuuzeni. Maneno yote tatizo ni Urais

    kaka kama bado hujaona, subiri kidogo utaona. Mimi mwenyewe nimepigia mstari majibu...kwisha! Mabadiliko lazima.
  8. F

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Dr. slaa ameongea mengi leo, na wazi wazi amemshambulia mgombea wa UKAWA. Maswali yangu ni: Je, unatuambia kwamba tusimchague Lowassa, tumchague nani? Je, unataka kutuaminisha kuwa ni bora tuchague CCM, kwa maana imesafisha "Mafisadi"? (Nionavyo mimi bado wengi mno wako huko. Je, Kijana wa...
  9. F

    Yaliyojiri uzinduzi wa Kampeni za Chama cha ACT-Wazalendo - Agosti 30, 2015

    Umenena vema kiongozi. Mwenye akili ya kawaida tu, ajiulize, kina zitto wamepata wapi hela ya kusimamisha wagombea ubunge zaidi ya 200, kuzunguka mikoa yote, na gharama nyingine lukuki ilihali hawana ruzuku? Mchezo huu CCM wanaoufanya, muda sio mrefu ACT wataumbuka. Namsubiri zitto...
  10. F

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    Nimepenyezewa video clip inayoonyesha magufuli akizomewa mbeya, na kukutana na alama ya vidole viwili (inayotumiwa sana na chadema), mpaka ikabidi nayeye atumie vidole viwili, kuonyesha vijana waliokuwa barabarani kwamba nayeye anakubali upande wa pili. Tatizo sio magufuli, tatizo kubwa...
  11. F

    Ukweli ni kwamba Magufuli alikataa kata kata boti za Azam kwenda ziwa Victoria

    Huyo ndie rahisi tunayelazimishiwa na CCM!
  12. F

    GE2015 Siku tano za kampeni: Chokochoko za CCM, serikali yake na vyombo vya ulinzi

    Ni akili ya kawaida tu, kwamba jinsi ccm wanavyoendeleza fitna (rejea: Katazo la kuzindulia kampeni uwanja wa TAIFA, Katazo la Lowassa kupanda daladala na kutembelea wananchi, Hila ya kunyima ukawa wasitumie uwanja wa JANGWANI, nakadhalika) ndivyo ambavyo wananchi wa kawaida (Malofa na...
  13. F

    Magufuli Afunga kazi Sumbawanga Mjini

    Mbona hicho pia ni kiwanja cha mpira, lakini magufuli ameruhusiwa kufanyia hapo kampeni? Kiwanja hicho kina ubora gani kushinda uwanja wa taifa ambao "hauna mazingira mazuri ya kufanya shughuli za siasa" hivyo ukawa wakazuiwa kuutumia?
  14. F

    Magufuli Afunga kazi Sumbawanga Mjini

    Mbona alichotumia magufuli (uwanja wa nelson mandela-sumbawanga) pia ni kiwanja cha mpira, lakini magufuli ameruhusiwa kufanyia hapo kampeni? Kiwanja hicho kina ubora gani kushinda uwanja wa taifa ambao "hauna mazingira mazuri ya kufanya shughuli za siasa" hivyo ukawa wakazuiwa kuutumia?
  15. F

    Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA Edward Lowassa, akiwa kwenye daladala leo asubuhi

    Tuache siasa za maji taka, huyu ni mgombea, na ana haki ya kujua kero za wananchi. CCM muachi kupanick!!
Back
Top Bottom