Naanza kuwatahadharisha watanzania wote, baada ya uchaguzi mkuu tusilaumiane:
Nimeona wasanii sasa hivi wanajikomba CCM, baada ya uchaguzi ndio watagundua kwamba serikali bado haiwajali, Tusilaumiane!
Naona bado kuna wakinamama wenye shida za kutupwa, bado wanasema CCM ni nzuri, baada ya...
Jamani, wameshasema na wanaendelea kuimba kila siku, CCM ni ile ile, mambo ya mabadiliko ni kufurahisha umati tu. Nadhani wala tusipoteze muda kuifikiria CCM watanzania. Imeshachoka, na wako busy kufikiria namna ya kuendelea kuila nchi.
Mabadilikooooooooooooooo.....................
Halafu jamani, DK. Slaa, hili la kuona kwamba kila hoja iliyokinzani na wewe, inatokana na watanzania wasio na upeo, kwakweli inaudhi.
Kwanini unajiona wewe ndio mwenye upeo peke yako? Just because, some of us are silent, it does not mean that we are stupid. Inaudhi sana kujiona wewe tu ndio...
Nashangaa sana kuwasikia CCM wakiendelea na lugha ya "tunaahidi". Mtaahidi mpaka lini? Mbona hamuoni aibu? Leo hii eti kwa dar es salaam wanaahidi afya bora, maji nakadhalika. Jamani, hamuoni aibu? Kwani miaka yote mlikuwa wapi?
Tuambieni mmefanya nini, mambo ya kuahidi waachieni UKAWA...
Dr. slaa ameongea mengi leo, na wazi wazi amemshambulia mgombea wa UKAWA. Maswali yangu ni:
Je, unatuambia kwamba tusimchague Lowassa, tumchague nani?
Je, unataka kutuaminisha kuwa ni bora tuchague CCM, kwa maana imesafisha "Mafisadi"? (Nionavyo mimi bado wengi mno wako huko.
Je, Kijana wa...
Umenena vema kiongozi. Mwenye akili ya kawaida tu, ajiulize, kina zitto wamepata wapi hela ya kusimamisha wagombea ubunge zaidi ya 200, kuzunguka mikoa yote, na gharama nyingine lukuki ilihali hawana ruzuku?
Mchezo huu CCM wanaoufanya, muda sio mrefu ACT wataumbuka.
Namsubiri zitto...
Nimepenyezewa video clip inayoonyesha magufuli akizomewa mbeya, na kukutana na alama ya vidole viwili (inayotumiwa sana na chadema), mpaka ikabidi nayeye atumie vidole viwili, kuonyesha vijana waliokuwa barabarani kwamba nayeye anakubali upande wa pili.
Tatizo sio magufuli, tatizo kubwa...
Ni akili ya kawaida tu, kwamba jinsi ccm wanavyoendeleza fitna (rejea: Katazo la kuzindulia kampeni uwanja wa TAIFA, Katazo la Lowassa kupanda daladala na kutembelea wananchi, Hila ya kunyima ukawa wasitumie uwanja wa JANGWANI, nakadhalika) ndivyo ambavyo wananchi wa kawaida (Malofa na...
Mbona hicho pia ni kiwanja cha mpira, lakini magufuli ameruhusiwa kufanyia hapo kampeni? Kiwanja hicho kina ubora gani kushinda uwanja wa taifa ambao "hauna mazingira mazuri ya kufanya shughuli za siasa" hivyo ukawa wakazuiwa kuutumia?
Mbona alichotumia magufuli (uwanja wa nelson mandela-sumbawanga) pia ni kiwanja cha mpira, lakini magufuli ameruhusiwa kufanyia hapo kampeni? Kiwanja hicho kina ubora gani kushinda uwanja wa taifa ambao "hauna mazingira mazuri ya kufanya shughuli za siasa" hivyo ukawa wakazuiwa kuutumia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.