Lawama za kuuwawa kwa mwandishi huyo wa habari zisitupwe kwa CHADEMA kabisaaaaaa ila ni asikari polisi wasio kuwa na uvumilivu na kutumia bunduki na risasi kama karanga..hawajui matumizi ya silaha ni wakati gani na sababu zipi! Jeshi la polisi ni hoivyooo sn.
kama hawezi kufungua kwenye cm anaweza kwenda cafe maana mtu atoapo link ya kazi anasaidia alengi tu watumia cm. Acheni watu waweke link na pia kama anaweza kuatach hizo kazi si mbaya kaka
kweli kaka, tatizo watanzania kubadilika imekuwa taabu sn. il nawamba sn Watz watambue Tz ya leo haiwezi kuendelea na mawazo na ilani za CCM bcoz are out of date na hazina manufaa ya kujenga nchi wala kuboresha maisha ya watanzania.
Jaman watanzania kuna sponsor kwa ajili ya wanawake na wale wote wenye ulemavu kusoma hapa nchini, Tafadhali mjulishe ndugu yako afungue website ya Utumishia http://www.utumishi.go.tz au http://www.utumishi.go.tz/index.php?option=com_docman&task=doc_download&gid=269&Itemid=88
Wadu naombeni kuelewa kuhusu mgumu wa walimu tanzania ni haki yao kugoma au sio? Kwa mtazamo wangu naona ni haki yao na pia waendelee kugoma tena ikibidi tuwaunge mkono wapate masilahi yao kwa manufaa ya elimu bora kwa vizazi vijavyo.
kweli kaka wabunge hasa kiuna mama wanapiga vigelegele bungeni kisa tu mbunge fulani kapigwa dongo..huo ni ujinga na kutolieshimu bunge na wapiga kura wao..wakuteuliwa ndo wamezidi maana hawana wanae muwakilisha...kiti cah kupewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.