Recent content by fredpion

  1. F

    Ubunifu ulivyopotea kutokea kwa watawala wetu

    Unajua hata kama tungesema ccm, ingetaka kutawala kama cpc (communist part of china), ccm ingepaswa iwe inaiga mambo ambayo ni threat kwa china elite, mojawapoya hayo macangamoto ambazo ni kubwa ni internal stability, any social unrest, ni kitu cha kukijali kuliko threat nyingine. Propaganda...
  2. F

    Sasa ni Zamu ya Wazanzibar...

    Nafasi yao ya makamu wa raisi hawaihesabu kila msimu wameisahau... au? Wao wawe na raisi wao mzenj kila msimu halafu sisi tuletewe mzenji kuwa rais wa bara hiyo aina uwiano... waache wanogewe na favor tunayowapa kama watanganyika kwa kutaka ndoa yetu idumu. Ila raisi wetu Awe MBARA na sio MZENJI.
  3. F

    Why do you think it is easy to mobilize muslims for a rally than christians!!

    kama una dili lako subiri azana/adhana, na tunasali maranyingi kwa siku. ukiangalia yote hayo. kutufikishia ujumbe ni haraka mno. sio kama wengine ni mara moja kwa wiki. tuna umoja na kufanya maamuzi ya kimoja hamna kurudi nyuma ni kinyume na taratibu.
  4. F

    Fishing African leaders - Chinese way...

    This is the dialogue between CHINA and African REGIME; CHINA: Is that your old mine there? REGIME: Yes CHINA: And that port over there-yours too? REGIME: Uh-Huh CHINA: Can I build a rail road from the mine to the port? And expand the port? And the mine ,too? All I need is long term...
  5. F

    Nyumba yenye thamani ya bilion 4 Ridhiwani Kikwete anaishi na nani humo?

    Baba yake yuko kwenye shughuli tokea kale, na mwanawe keshakuwa mtu mzima sidhani kama ni suala la yeye kazitoa wapi? labda kapewa urithi na baba yake? sidhani kama kuna mtu ambaye anapenda mwanawe aishi kupitia maisha magumu au njia uliyopitia yeye ambayo anailaumu sikuzote... tujadili...
  6. F

    GE2010 Je, Mtanzania gani anafaa kuwa Rais wetu 2010?

    CCM bado ndio wanaowza kuongoza nchi, kubali kataa na vilevile ndio uhuru waangu kutamka... Ila nachoweza kusema nikuleta upinzani ndani ya CCM mpaka wanaCCm wajue nini wanaweza kuiletea Tanzania ya leo.... Kinyume na hapo nadhani safari itachukua Muda mrefu... na tutazidi kuwa na majukwaa ya...
  7. F

    Hivi Tanzania kuna MacDonalds?

    kwa vile huna tabia ya kula nje na nyumbani kwako. Ukibadilika utakuja na ya kwako. Ambayo inaweza kusambaa afrika na baadae dunia kama utafanikiwa kubadili mfumo wa maisha ya waafrika na kipato
Back
Top Bottom