Kuna hati za halali kabisa na Raisi anazijua kwenye barabara hii zipo zaidi ya 81 zimetolewa kiuhalali miaka ya nyuma.
Kwanini vipande vingine walipwe hiki wasilipwe kwanini?
watu na Hati halali za ardhi toka 1964 wewe hujazaliwa unasema hawajafuata sheria
wamepewa building permit na serikali hii labda serikali waliopewa sio ya Tanzania
wakalipia kodi za majengo Ardhi bado unadai hawafuati sheria
Inawezekana kabisa una majibu yako kichwani mwako sababu unashawahukumu wakazi wote walipata pesa kwa kuiba na rushwa njoo na id yako halisi ili ujue uhusika wa Raisi labda useme Kimara mpaka Kiluvya iko Congo
hajawahi kukuta wewe angalia hapo juu kuna wananchi wanazo hati miliki za ardhi kwanini serikali ilitoa hizo hati miliki,kwanini serikali iliwapa ruhusu na hati za kujenga,kwanini serikali ilipokea kodi stahiki kwenye hayo maeneo
Raisi ndio kiongozi wa Jamuhuri ya Muungano
Kiwanja unaweza uziwa na mtu yoyote lakini mpaka ukipata hati halali ina maana serikali imekukubali,ukapata kibali cha kujenga ina maana serikali imeona umuhimu wako.
Kwahiyo Tanroads ipo chini ya serikali kuu Raisi anaingia moja kwa moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.