Naomba ufafanuzi kama ukiwa mtumishi wa Serikali zaidi ya miaka 20 je kama ukifukuzwa kazi kuna mafao yoyote utapata?
Au ukiamua kuacha kazi, Je kuna mafao yoyote unaweza kupata? Na je kama una mkopo benki hilo deni linalipwaje na wewe uko nje ya utumishi.
Upo sahihi hili jamaa linazungumza kama nani na lilishafungiwa masuala ya Yanga yanaongelewa na viongozi wa Yanga si mtu aliyefungiwa na TFF na hadi muda huu keshachangiwa pesa zaidi 150m sasa anaingilia vp mechi ya fainali ya Yanga mbona havina uhusiano
Askari walikuwa wanaenda/wanatoka kwenye lindo walikuwa kwenye difenda la polisi ndipo mdunguaji akampiga risasi dereva wakati gari lipo kwenye mwendo likapinduka askari wakajeruhiwa ndipo walipovamiwa pale na kuanza kupigwa risasi kwa ukaribu zaidi ila kuna askari mmoja alipona baada ya...
Je hilo Genereta la 500kVA lina uwezo wa kuendesha hizo taa za uwanja wa taifa, vp pale azam complex chamazi jenereta yao ina uwezo gani tupate ufafanuzi
Umeongea point ya maana sana kuna haja ya TFF kuangalia upya kanuni zake na kuacha ushabiki, Yanga wanapaswa kukata rufaa katika mamlaka za juu za soka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.