Recent content by Fredgar kassey

  1. F

    JamiiForums Tanzania Child marriage ban welcomed in Sierra Leone

    🤣🤣🤣
  2. F

    JamiiForums Tanzania Waziri Tax: Hakuna malimbikizo kwa wastaafu wanaohusiana na JWTZ

    Hayapo na wanaendelea kufany utafitii, ni vyema mkaharakisha kama serikali , ila kama raia na mlipa kodi naomb kuhoji mna fanya utafiti wa kitu ambacho mmekiri kuwa hakipo?
  3. F

    JamiiForums Tanzania Diddy atuhumiwa na Mwanamke mwingine kwa udhalilishaji wa Kingono

    Mara nyingi stories za wasanii na watu maarufu zimekuwa jambo la kawaida lakn ukwel zina tufundisha sisi vijana kuishi kwa utaratibu unaopaswa na kuonekana ni wema, maana haya yanawakuta wenye nguvu kiuchumi je wewe, na mimi tukifika uzeeni tutaweza kukabiliana na vita vitakavyo ibuka. Jifunze...
  4. F

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Haya machinjio ya Nyama Wilayani Uyui (Tabora) ni hatari kwa Afya

    Ni kwann serikali isione ipo haja ya kupambana kuweka umakini na nguvu kubwa ktk miradi midg midg inayoanzishwa ktk mazingira ambayo ni kwaajili ya kutoa huduma bora , nasio bora huduma. Matukio haya yanailazimisha serikali kuja kuzalisha migogoro midg midg mfano mimi mwananchi , ninatafuta...
  5. F

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Ulinzi: JWTZ si sehemu ya Siasa, ni taasisi mahsusi kwa kazi mahsusi

    Mheshimiwa Stergromena Tax mama makini na mwenye ucheshi ktk kazi makini umesema na kuongea ktk mazingira ya kimsingi na kijamii kwa nyanja Pana sana kongole mama Mungu akujalie binti shupavu kama wewe Mheshimiwa , maana umri ni namba na haziongopi ukifika wakt bas ainuke malkia kama wewe...
Back
Top Bottom