RA hakuwa Mtunza Hazina CCM wakati wa BWM.
RA alikuwa Mweka Hazina CCM wakati wa JK.
Secretariat ya kwanza ya JK akiwa Mkiti
Katibu Mkuu Lt. Yusuph Makamba
N/Katibu Mkuu Bara Capt George Mkuchika
Katibu Itikadi na Uenezi Capt. John Chiligati
Mweka Hazina RA.
Kama sijamsahau, Mweka Hazina CCM...
Balile asitake kutosha media wakati ukweli unajulikana.
Uchawa wa media (na sasa umefananishwa na toilet paper) ulianzishwa na genge la wana-mtandao (Boys II men).
Media ilitumika kuwainua wana-mtandao kwa vipande vya fedha na kuwakandamiza washindani wao.
Deo Balile akiwa chawa wa EL tokea...
Haiwezi kuwa ufadhili, lazima utakuwa mkopo wenye riba ndogo.
Mzungu/Mchina/Mwarabu/Mhindi hajawahi kutoa ufadhili wa zaidi ya USD 1.0000.000.
Ufadhili utaona wamejenga choo, wamejenga vyumba vya madara.
Ila mradi mkubwa kuzalisha na kusambaza maji wa thamani kubwa ya fedha ni mkopo nafuu na...
Wewe ndio uko sahihi, aliekuwa Ubungo sio mbali kutoka Mabibo Hostel/Azania Wheat Miller ni Father Nkwera
Alileta "uamsho wa kilokole" - Pentecostal Revival hasa kwa wakatoliki
Paskali, huu mjadala umekuja wakati muafaka ila kuna maswali ya msingi ya kujiuliza, kuna karakana (workshop) na vifaa (equipment) za kujifunzia?
Kuna walimu/technicians wa kutosha kuendesha hizo training?
Kuna mtu mmoja ali-define training as directing the growth of something through...
Huyu jamaa ni mwingi sana. Na jinsia ambavyo kau-package uongo wake na tabia yake ilivyo, inashangaza kawezaje kuwa mwenyekiti wa Kanda ya ziwa.
Unakutana na Abdul kwenye hafla, mnabadilishana namna, hapo-hapo anampigia simu TAL kuhakiki madai yake?
Within a very short time wanaweza kuaminiana...
Jibu ni jepesi sana.
Angalia gov interest kwenye kila outcome.
Kuna shauri lilipelekwa mahakamani na activists (akiwamo wakili Wangwe) kutaka tafsiri ya kisheria kuhusu nani ana mamlaka ya kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa kati ya Waziri wa TAMISEMI au Tume Huru ya Uchaguzi.
Sheria mpya...
Njaa ilimfanya Essau akauza urithi wake wa uzaliwa wa kwanza kwa kiapo kwa sahani ya dengu.
Haya majizi yalioyo kwenye uongozi yanajua wapiga kura wana njaa na wananunulika.
Kwa kuwa bei inafahamika, ndio tabu imeanzia hapo. (Pata picha hata viongozi wa dini wanahongwa magari na machangizo...
Tanzania yetu bila NIDA hupati passport, hufungui kampuni BRELA, hupati leseni ya biashara, haupati usajili wa line ya simu.
Na kuna mabenki, bila NIDA hufungui account.
Passport ni kama kifaranga litokanalo na yai (NIDA)
Mtoa hoja angeseka wazi mchango kwenye pato la taifa kwa hiyo mikoa ya wabunge waliosoma ni kiasi gani?
Tuweke rejea Kilimanjaro/Tanga ukilinganisha na Mwanza, Geita, Simiyu, Tabora na Shinyanga?
Aliondolewa hadhi ya ubalozi na kufutwa kazi ya ubalozi na JPM. Akateuliwa kuwa RAS (Mtwara).na huyo huyo JPM.
Baada ya SSH kuingia, akamteua kuwa boss wa TRA kazi ambayo alifanya Dr. Philip Mpango kabla ya kuteuliwa kuwa waziri wa Fedha
Ukisoma history vizuri suala la Chama tawala na chama cha upinzani ni fikra za kutokujua uhalisia wa mambo.
https://en.wikipedia.org/wiki/President_of_Zambia
Ukipitia Wikipedia ya office holders utaona toka Kaunda mpaka sasa Zambia imepitia mabadiliko ya vyama vinee.
Hivyo kuna haja ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.