Recent content by FRED MAGANGA

  1. F

    Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 80 na Majeruhii 133

    HICHO KITENGO KINGEZUIAJE HAYO MAFURIKO? KITENGO KINAENDA SITE BAADA YA TUKIO!
  2. F

    TANZIA Pumzika kwa amani Lt. Gen Benjamini Msuya

    NAKUMBUKA ALIKUWA MKUU WANGU(CO)LUBILI BARRACKS KAMPALA 1979/80.
  3. F

    Uliza swali lolote kuhusu FREEMASONRY utapata majibu kwa usahihi

    MTOA HOJA AJIBU KWANZA HAYO MASWALI YALIYOULIZWA.
  4. F

    Unatenga muda wa kuweka simu pembeni na kupumzika?

    UMEANZA VIZURI NA LUGHA YETU, HAPO ULIPOBADILISHA SASA Mmmmm,UNGEENDELEA TUU NA KISWAHILI.
  5. F

    Dodoma: 12 wafariki na 63 kujeruhiwa kwenye ajali ya Basi la Frester kogongana na Lori

    HIZO BUS MARA ZOTE HUPITA KAHAMA SAA 5.30 ASUBUHI AU SAA 6 MCHANA.
  6. F

    Hivi kweli Katiba Mpya tutapata?

    KATIBA MPYA YA NINI NG'WANAWANE,HII ILIYOPO INATOSHA.
  7. F

    Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

    MALIZIA BASI STORY YAKO PART VII, NI TAMU KWELIKWELI.
  8. F

    DSTV na Watangazaji feki wa kombe la Dunia!

    WE UMEJARIBU KUTANGAZA?UNADHANI NI RAHISI?WAACHE WATUPE HABARI,SI LAZIMA WAKUFURAHISHE WEWE.
  9. F

    Kama upelelezi hautafanyika vizuri Kanisa la Masanja basi tutarajie tukio jingine

    Hapo ndio kwenye tatizo,amesambaza Mchungaji,Polisi,Daktari na au Na Mchungaji?
  10. F

    Ruvu shooting leo wanamfunga mdomo utopolo

    RUVU HAWEZI KUMFUNGA YANGA KWA SASA.
  11. F

    Makarani wa Sensa si mmepewa hela ya kula? Kwanini mida ya saa 7 hadi Saa 9 mnapenda kung'ang'ania katika nyumba moja tu?

    Wafanye kazi waliyotumwa kufanya,wasianze kufikilia kupatiwa fadhila,hali ni ngumu kwa sisi wote!
Back
Top Bottom