Recent content by frankrhino

  1. F

    JamiiForums Tanzania Gari la matangazo la CHADEMA lakamatwa Morogoro

    Hivi hiyo gharama waliyoingia kujaza mafuta na kuanza kuzunguka manispaa kufanya doria si wangewaacha wafanye mkutano alafu wangewalinda badala ya kuwawinda
  2. F

    JamiiForums Tanzania Zoezi la sensa limeshatiwa doa tayari!

    Baadhi ya walimu waliogoma katika manispaa ya morogoro wataenguliwa katika zoezi la sensa ya watu na makazi inayotegemewa kuanza kuanzia jumatatu wiki ijayo. Zoezi hilo limefanyiwa kazi kwa kutumia ripoti za walimu walioripoti kwenye vituo vyao vya kazi tarehe 31/07 na 01 / 08 ambapo waratibu...
Back
Top Bottom