Jamani nilikuwa naomba kwa member yeyote wa jf ambaye ana full infos kuhusu landmark hotel amabayo sasa imegeuzwa kuwa hostel.....accomodations fee pamoja na other expenses infos please
Brother hapo kuna tofauti kati salary tax na pesa ya mfuko wa jamii...salary tax ni kwamba kodi ya mshahara ambayo huchukuliwa na serikali alafu iyo ya mifuko ya jamii inakatwa pia kwenye mshahara ambapo after retirement au kujitoaa lazima apate coz ni pesa yake na c ya serikali
Im so sorry if am mistaken lakini since jana jioni CAS server iko down..sasa admin nilikuwa naomba msaada kama kuna mtu yeyote mwenye altenative way to help...!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.