Recent content by Frankjoe

  1. F

    Modem yenye speed

    Modem ipi ina speed kati ya ZTE na Huawei?
  2. F

    Mjuzi wa programming

    Mtu yeyote anayejua programming anisaidie hili tatizo najaribu kucreate apps za android kwa kutumia html, css & javascript. Kuna file flan inatwa cordova 2.0.0 natakiwa niiattach kwenye hiyo html so nimekwama hapo sijui niweke vp maana nimejaribu kuweka mwanzoni napoanza kuandika html codes...
  3. F

    Tunnel Guru...!!!

    Hiyo kweli. Wengine wanatafuta sifa kwenye mitandao waonekane wanaweza kumbe masnitch:what::what:
  4. F

    msaada, APPLICATION YA KUZUIA WIZI

    Unaweza trace cm kwa IMEI number hata kama watakuwa wameiformat. Cha msingi nikusave hiyo namba tu kwenye document zako za kuandika au email ili usiipoteze.
Back
Top Bottom