Recent content by Frankis

  1. Frankis

    Sikio la Kufa halisikii dawa - Wakataa ndoa wote

    Kuna mstari mwembamba sana kati ya Mwanaume kujikubali too much kiasi cha kuona kuoa ni kujinyima raha na Swala la UNGESE kiujumla🫵🏽
  2. Frankis

    Haya kwa wale wanaume ambao mnataka kujua kama watoto mlionao ni wenu au mmebambikiwa kuleni chuma hiki cha DNA ya bure na ya asili

    Kama toto limeshaenda age yaani miaka 12+ huyo si lazima ashangae shangae tu😁😁🫵🏽
  3. Frankis

    Tatizo la mtoto kutopenda kunyonya.

    Pole sana kwa changamoto unayopitia na mtoto wako. Kutonyonya vizuri mchana kunaweza kusababishwa na mambo kadhaa, kama vile usumbufu wa mazingira (kelele, mwanga mwingi), uchovu, au hata kipindi cha ukuaji (growth spurt) ambapo wanabadilika kitabia. Jaribu haya: ✅ Tafuta mazingira tulivu –...
  4. Frankis

    Kuoa mwanamke aliemaliza chuo kikuu ni sawa na kutumia kondomu iilitumika na mtu mwingine

    Iko hivyo, kulombewa haijalishi umeoa nani msomi au ambae sio msomi… ila hao anaowatetea mfano wa form 4 unaeza mla kipusa kwa kumpa ata smart yako ashangae shangae tu.. au ata ukimfungulia akaunti ya tiktoko akakutunuku🚮🤲🏽
  5. Frankis

    Kuoa mwanamke aliemaliza chuo kikuu ni sawa na kutumia kondomu iilitumika na mtu mwingine

    Takataka ni yeyote tu haijalishi elimu… Maana hao ambao hawajasoma nao kuna kanamna ni rahisi sana kuwatongoza wakakubali haraka haraka(wengi wao) ata wakiwa kwenye mahusiano🤔💔
  6. Frankis

    Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025

    Yanga anashinda bila kupepesa macho kabisa✅… Hakuna droo wala cha nini
  7. Frankis

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Heeeh waliongea wapi haya mbona sjaona🤯
  8. Frankis

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hapana hao sportybet ukidownload mkeka ndo wanaweka hivyo
  9. Frankis

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Starehe yangu moshi mimi 1000 tu kwa siku inantosha🤝
  10. Frankis

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tena usiombe usubiri kindege kipande useme labda ikifika odds 50 natoka halafu inapasukia kwenye arobain na kitu. Ata kama ni 2000 umeweka unaanza ninge ninge😂😂🤣
  11. Frankis

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    🤣🤣🤣🤣Aviator sio kabisa yani ndege inavopigwa bomu na moyo unapasukaga Paaah💔
Back
Top Bottom