Recent content by FrankEM

  1. F

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Itakua ngumu kumpata,nenda kwa mwajiri wako na uombe uhamisho toa hata sababu za uongo.
  2. F

    Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

    Mimi nilijua great thinker ndio anaongea vitu vya msingi kumbe pumba tu.pole sana bro ila nawe ulipita huko kwa makinda.
  3. F

    Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

    Mimi naishanga hii nchi yetu kwani kila kitu wanaingiza siasa.Kama hawataki kutoa matokeo waseme na sio kusubiri maandamano ya wanafunzi.
  4. F

    Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

    Hivi hawa wanaosema tunawasumbua kwa kupost mambo ya matokeo,wao hawakupitia huko?Kama tunakuboa acha kuzisoma na fanya yako unayoyaona ni muhimu kwako kwani sisi tunaona la muhimu ni matokeo.
  5. F

    Natafuta vitabu

    tembelea bookshops utapata tu ndg yangu
  6. F

    Elimu na dini ni vitu tofauti

    Nawashangaa hawa wanaodai wamefeli eti kwa sababu ni waislam,hivi kama ulikua unashinda madrasa utafaulu kweli?au ndo mnataka kutuletea udini hadi kwenye elimu tena ambayo haina mtaala?
  7. F

    Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

    me nafikiri jf sio ya kujuana kidini na necta pia hawajui dini ya mtu,kama hukusoma unakesha kanisani au madrasa hilo ni lako na familia yako.Usiseme eti umefeli kisa muislam huo ni ujinga ambao hauna nafuu.
  8. F

    Wasiwasi wa nini?

    Kuchelewa kwa matokeo ya kidato cha nne hakubadilishi ulichofanya siku ya mtihani,hivyo kuwa na subira tu.
  9. F

    Moto mkubwa unawaka maeneo ya Mwenge kwenye Stendi ya Mabasi

    tatizo zima moto wa Tanzania bado wanatumia analojia kwani hadi time hii hawajazima moto tu.
Back
Top Bottom