Nauliza. Nataka kufuga mbwa lkn hasie na madhara wala sio kwa urembo wa sebuleni. Awe normal wa nje mwenye kucheza cheza na upendo. Sipendi mwenye manyoya mengi sana kwasabab ya usafi.
Naombeni ushauri wa jina la Mbwa. Na ikiwezekana sehemu ambazo anapatikana
samahan kwa kuwapotezea muda. mi ni kijana ambaye nimejaribu kuanza kibanda changu lakini kwa bahati mbaya ramani ya paa imepotea. na nimeshafika ujenzi wa juu wa matofari mda kidogo. nyumba yangu ina wastan wa 150sqm. kama natumia bati za kupima za araf hafu nina bajeti ya milion 6 inakuaje? au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.