Recent content by FRANK MICHAEL

  1. FRANK MICHAEL

    Makamu Mwenyekiti Bavicha Taifa Ole Sosopi, Atikisa Masaini Simanjiro

    Tunaendelea kusonga mbele leo, tupo Babati vijijini
  2. FRANK MICHAEL

    Makamu Mwenyekiti Bavicha Taifa Ole Sosopi, Atikisa Masaini Simanjiro

    neno Enyoito maana yake kwa lugha ya kimasai ni amkeni.....
  3. FRANK MICHAEL

    Makamu Mwenyekiti Bavicha Taifa Ole Sosopi, Atikisa Masaini Simanjiro

    Makamu mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Mh Patrick Olesosopi jana aliwashangaza wananchi wa kifugaji katika kijiji cha Sipiriwei kata ya Ngorika Simanjiro mkoani Manyara. Mh Ole Sosopi ambaye yupo ziarani mkoa wa Manyara akiwa ameongozana na Mh Frank Oleleshwa mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa...
  4. FRANK MICHAEL

    CHADEMA yaigaragaza CCM kwenye kesi ya uchaguzi Simanjiro

    Hongereni sana makamanda wa Simanjiro, Millya ndo mpango mzima...
  5. FRANK MICHAEL

    BAVICHA wapanua wigo wa vijana kimataifa

    Bavicha na isonge Mbele........ Na Katambi naye asonge Mbele........ SSosopi naye asonge Mbele....... Mwita naye asongembelee........ Viongozi wa Mikoa wasonge Mbeleee Sitty naye asonge Mbeleeee..... Oleleshwa naye asongeee...... George Tito naye asonge....... Nawengine wote wasonge.
  6. FRANK MICHAEL

    James Ole Millya na mkakati wa kuidhoofisha CHADEMA Arusha huu hapa

    Mkuu nimesoma andiko lako lakini nilicho gundua wewe huna mapenzi mema na Chadema. Andiko lako limejaa chuki, majungu na uwongo uliokidhiri, na nitaeleza kwa nini nasema hivyo, UWONGO WA KWANZA. Mimi ni mzaliwa wa Simanjiro, mwanachadema na katibu wa Wilaya ya Simanjiro Chadema na...
  7. FRANK MICHAEL

    Kila la kheri kamanda Oleleshwa ktk safari yako BAVICHA

    Mkuu waeleze halo wehu wasakatonge
  8. FRANK MICHAEL

    Kila la kheri kamanda Oleleshwa ktk safari yako BAVICHA

    Kwani John Heche ni jina la Kichaga? Achani uzushi nyinyi Mamluki!
  9. FRANK MICHAEL

    Kila la kheri kamanda Oleleshwa ktk safari yako BAVICHA

    James Ole Millya wewe wagombea Nafasi gani?
Back
Top Bottom