Recent content by Frank Mazagazaga

  1. Frank Mazagazaga

    JamiiForums Tanzania Sanduku lililodharauliwa

    Mayai 60 laki na nusu Mayai 90 laki mbili na 10 Mayai 120 laki mbili na 70
  2. Frank Mazagazaga

    JamiiForums Tanzania Sanduku lililodharauliwa

    Mayai 60 laki na nusu Mayai 90 laki mbili na 10 Mayai 120 laki mbili na 70
  3. Frank Mazagazaga

    JamiiForums Tanzania Sanduku lililodharauliwa

    Mayai 60 150,000
  4. Frank Mazagazaga

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya utengenezaji wa incubator vinapatikana

    Unatengeneza incubator au unahitaji kuboresha incuvator yako. Tunakuletea vifaa muhimu kwa ajili ya kutengeneza incubator yenye ufanisi. ✅ Temperature & Humidity Controller (XK-W1099 na STC-3028) ✅ Temperature Controller (XH-W3002) ✅ Temperature & Humidity Reader (FY-12) ✅ Humidifier Mistmaker...
  5. Frank Mazagazaga

    JamiiForums Tanzania Sanduku lililodharauliwa

    Incubator homemade
  6. Frank Mazagazaga

    JamiiForums Tanzania Sanduku lililodharauliwa

    "Hili si boksi la kawaida. Ndani yake kuna mamia ya vifaranga ambao bado hawajaanguliwa." Niliposema maneno hayo mbele ya kundi la wafugaji waliokuwa wamekusanyika sokoni, baadhi walitabasamu kwa dharau. Mmoja alicheka na kusema, "Kwani boksi linawezaje kuzaa kuku?" Mwingine akaongeza, "Hizi...
  7. Frank Mazagazaga

    JamiiForums Tanzania Leo nataka nikuambie siri moja kubwa sana kuhusu incubator za home made

    Kuna jambo moja ambalo wafugaji wengi wanaoanza kufanya utotoleshaji wa mayai kwa incubator za kutengeneza wenyewe hulipuuza, lakini ndilo linaloamua kama mayai yatatotolewa au yataharibika. Watu wengi huamini kwamba ukishakuwa na box, bulb na mayai basi tayari una Incubator. Huo ndiyo mwanzo...
  8. Frank Mazagazaga

    JamiiForums Tanzania VITU TISA - Ufugaji na utotoleshaji Mayai (Homemade incubators)

    VITU TISA Kutotolesha mayai si kuweka mayai kwenye boksi lenye taa joto, kama ambavyo Wengi wanajaribu kufanya na kusubiri siku 21: Tengeneza mfumo. Ni vitu tisa. Kwa sababu hapa, tunatengeneza mazingira yanayoleta uhai ndani ya mayai ya kuku, na uhai una tabaka, na kila tabaka hutaka...
  9. Frank Mazagazaga

    JamiiForums Tanzania Ndani ya Incubator za home made (kienyeji) Kuna Siri Ambayo Huamua Mafanikio au Hasara

    Kwa mfugaji mmoja mdogo, kifaa kimoja kilimuokoa kati ya hasara nakuleta matumaini. Andiko hili linahusu kitu ambacho wafugaji wengi hukipuuza mwanzoni — udhibiti sahihi wa joto na unyevunyevu. Kitu kinachoonekana cha kawaida, lakini madhara yake ni makubwa sana. Kuna mfugaji mmoja, alikuwa...
  10. Frank Mazagazaga

    JamiiForums Tanzania Wafugaji wenzangu tujifunze kuusu TEMPERATURE AND HUMIDITY CONTROLLER ya njia mbili

    WAFUGAJI WENZANGU, TUJIFUNZE PAMOJA Moja ya sababu kubwa zinazofanya mayai yasitotolewe vizuri siyo mara zote sababu ni mayai mabovu, wakati mwingine ni KUKOSA UDHIBITI SAHIHI WA JOTO NA UNYEVU NDANI YA INCUBATOR. Hapa ndipo kifaa kimoja muhimu sana kinapokuja kusolve hili tatizo: XK-W1099...
  11. Frank Mazagazaga

    JamiiForums Tanzania Ukitaka incubator yenye matokeo thabiti – humidity na temperature lazima ziwe balance (kifaa - XK•W1099)

    Siri kubwa ya kutotolesha mayai kwa mafanikio siyo tu kuwa na incubator – ni kuhakikisha joto (temperature) na unyevu (humidity) viko kwenye viwango sahihi na vimebalance muda wote. Wakuu habari za majukumu, Kwanza nianze na maelezo mafupi kuhusu incubator – ni kifaa kinachotumika kutotolesha...
  12. Frank Mazagazaga

    JamiiForums Tanzania Nilipost kuhusu mtambo, jamaa akaniambia ‘nimesubiri sana kitu kama hiki– Sasa anavuna vifaranga nyumbani kwake!

    Ni kweli kabisa kaka, hawa wabunifu wa zamani walifanya mambo makubwa kwa mazingira waliyokuwa nayo 👏 Sisi tunaendelea pale walipoishia — tumeongeza teknolojia kidogo tu kama digital controller, lakini lengo ni lile lile: kusaidia wafugaji kupata vifaranga kwa uhakika. Asante kwa kuchangia...
Back
Top Bottom