Recent content by frank jerry

  1. frank jerry

    LAPF waanza kuita watu kwenye interview

    me duce saa2 na nusu tar 11
  2. frank jerry

    Kuitwa kazini TanTrade

    Alafu inakwaje hao wengine wameitwa wakati sisi ndo nilikuwa wa mwanza kufanya interview inabidi tupate ufafanuzi wa hii kitu aisee..
  3. frank jerry

    Kuitwa kazini TanTrade

    Kweli aisee hawa jamaa ata siwaelewi
  4. frank jerry

    Naombeni msaada nifike Dodoma nikafanye interview

    Kwanza utaaminikaje kama kweli unashida pia haujanyosha malezo yako kamili..sema na mahali unapoenda fanya interview ..
  5. frank jerry

    Naombeni msaada nifike Dodoma nikafanye interview

    Nyie ni watoto wa chuo xha uhasibu arusha ..kwa tondi
  6. frank jerry

    Utumishi vipi kuhusu TanTrade?

    ata me nataka kujua mbona wamekuwa kimya hawa jamaa
  7. frank jerry

    Utumishi vipi kuhusu TanTrade?

    ata me nawashangaa kama wamechakachua vile kwa sababu watu tulikuwa wachache wameshindwa nini kuwaita watu....wanautapeli nn..haiwezeka miezi mitatu ndo uitwe kwenye usaili alafu tena mpaka sasa miezi miwili tena hawajaita kwa ile interview ya tantrade kazi moja miezi 5 bado hakieleweki mpaka...
  8. frank jerry

    Azania Bank wameanza kuita

    me nimeambiwa saa 2 ...ila nafasi si zipo tofautitofauti
  9. frank jerry

    Azania Bank wameanza kuita

    me nimepigiwa simu leo asubuhi ,,,interview tareh 11 saa 2 asubuhi ....jamani anayejua wanaulizaje hyo written interview atujuze apa
  10. frank jerry

    Mjadala: Tatizo la kujieleza kwenye usaili wa kazi

    we wakirudia ndo utapata kazi ....interview sio class na ndo mana huwa kuna comon interview qns kwa private sector zote...ni utaratibu na ni lazima utumike vilevile ata wakirudia mara mia cha msingi wanangalia uwezo wa m2 bimafsi na sio kujibu kwa kukremu
  11. frank jerry

    Nani anafaa kuwa rais wa Tanzania 2015?

    wanajamii forum me ningependa sana moja kati ya hawa wafuatao awe rais nchini mwetu...umuhimu na uhitajikaji wao umejipanga kwa list. 1.EDWARD LOWASSA 2.James Mbatia 3.Migulu Nchemba 4.January Makamba Huo ni mtazamo wangu tu wa kuitakia Tanzania bora 2015..au nyie mnaonaje kwa upande...
  12. frank jerry

    PSRS: Kulikoni zile post 101?

    poa kk naomba unisaidie kwa hilo ukirudi naomba utupie picha za hayo majina coz wengine tupo mbali sana hatuna acess ya magazeti kwa ss...nitashukuru sana ukutupia apa
  13. frank jerry

    Mshahara wa bank officer, Exim Bank

    tulia ww usifanye unajua kukosoa coz wao wakitangaza wanasema banking officer na sio bank officer
  14. frank jerry

    PSRS: Kulikoni zile post 101?

    aisee kk tupia hko kipande cha gazeti ulichokiona na ni gazeti la lini
  15. frank jerry

    Mshahara wa bank officer, Exim Bank

    wanajamii forum kwa mtu anayefahamu mshara(gross salary) wa banking officer exim bank ni shilingi ngapi kwa mtu anayeanza kazi mara ya kwanza naomba anijuze
Back
Top Bottom