Recent content by Francis thinker

  1. Francis thinker

    Natafuta share partner wa biashara ya mafuta ya alizeti

    hapana boss nlipata nlichokua nahitaji and ubize wa hapa na pale wa maisha nkawa sijaingia humu mda kidog ila tu natakiwa kuifuta i think this post
  2. Francis thinker

    Natafuta share partner wa biashara ya mafuta ya alizeti

    Sawa mkuu..ila kwa bahat nzuri nlipata mtu tyr ndo maana nliondoa mawasiliano yangu na aliekua intérested alinitafuta tukaongea maana kwa maandishi pia ni kaz kuwasilisha full details lkn shukuran nlifanikisha kupitia hapa hapa jf.
  3. Francis thinker

    Wadau naomba wazo la biashara, nina mtaji wa 10M-15M

    pia nina mtu anauza hyo mashine pamoja na nyumba i mean kiwanda chote less than 20M
  4. Francis thinker

    Naomba msaada kuhusu biashara ya kuuza na Kubadilisha gesi

    mh kaka mkubwa michezo atari hyo ukikamata unatoa sadaka kwa watu wa mali asili hadi vibari ila meipenda hyo bei kwa kweli
  5. Francis thinker

    Naomba msaada kuhusu biashara ya kuuza na Kubadilisha gesi

    ina depend ukubwa wa familia na matumizi
  6. Francis thinker

    Naomba msaada kuhusu biashara ya kuuza na Kubadilisha gesi

    duuuh...real? bro mkaa mwanza ni 55,000. mbna inanishawishi vile mana huku niliko mm katika utaftaji mkaa gunia ni 10,000 hd 12,000
  7. Francis thinker

    Wadau naomba wazo la biashara, nina mtaji wa 10M-15M

    454..wazo lake binafsi nmelipenda kwa kusisitiza tu utafiti ni muhimu mkuu katika sekta ambayo unajiona ww upo vizuri pia km una profesional fulan unaeza fungua biashara inayoendana na proffesional yako sababu utakua unaijua vizur zaid na utaalam nayo pia ...upande wangu mm nijihusisha na...
  8. Francis thinker

    Kiwanda gani naweza fungua/anzisha kwa gharama ya millioni nne?

    kiwanda cha alizeti hawez ku install kwa ml.4 may be 7 or 8
  9. Francis thinker

    Barmaid amenisimulia 'take home' yake kwa mwezi na maisha anayoishi mpaka nimejiona fala na degree yangu Halmashauri

    barmaid asikutishe pia ana pesa nyingi sio za halali pia aez kukwambia kua anadanga bila kumuona...ww muone tu mtaan anapeta behind the scene anajua mpig picha
  10. Francis thinker

    Mfanyakazi usithubutu kuacha kazi kwa kushawishiwa kwa njia yoyote ile

    rich dad poor dad hiki kitabu nakipenda kimegusa vizuri sna habari za kuajiriwa na kujiajiari...
  11. Francis thinker

    Mfanyakazi usithubutu kuacha kazi kwa kushawishiwa kwa njia yoyote ile

    hakika upo sahihi...ukitaka pato zuri ndivyo utumwa kwa maslahi ya wengine unavozidi
Back
Top Bottom