Hapo cha muhimu bro ni kuangalia malengo yako yamefika wapi...kama yamefika stage ambayo inaruhusu ....tafuta mtu ila muda wa kudate inatakiwa uwe conscious saana usichukulie poa ht kitu kiwe kidog saana na jipe mida wa kutosha ubaya au uzur wa hyo mtu utaujua tu kama ukijipa muda wa kutosha mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.