Naamin watanzania tutaendelea kupata ma prof. mchwala mpaka pale njaa zitakapotuisha,mfano mzuri ni kitila huyu hawezi kuchambua,au kuchangia mada bila kuangali ni upande upi ana maslah nao,bila kujali kufanya hivyo anaweza kuwa anasigina weredi wa taaluma yake.ukweli wa tz wanahitaji mabadiliko...
mimi sijamdharau dr.wangu,najua anahitaji majibu,ila kwa sasa naelekea kuswip pale magogon then ntakujibu,au kama vp tuongozane niwe nakujibu huku natembea ,sory mambo mengi.
Huyu jamaa amepanga safu ya hatari ya kwenda kuwamaliza majambazi ccm,ameifananisha tim yake ya ushindi na barcelona tim ya mpira wa miguu.mfumo wake ni 4,5,1 huu mfumo,unashambulia kwa kasi kama umeme,huu mfumo una viungo makini sana,na wanauwezo wa kutoa pass za mwisho kama mvua,na bila shaka...
huyo mzee cjui wa aina gani wakati mm nikiwa chekechea mwaka 85 alkua ni waziri wa mipango ya ghafla,wakati npo primary akawa wazri asie na wizara maalum,npo secondari nasikia niwazri wa wizara ya maafa,npo chuo nasikia anafisad pale ubungo terminal,sasa hivi nmekua mzee bado yeye anang'ang'ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.