Tumia akili na Maarifa yako vizuri unaweza kuonekana Mpuuzi na wakati wa kurekebisha umekupita kama huna Kazi za kufanya omba upewe ajira Ndugu yangu hizi aibu Ndogo Ndogo zikupite
Hapa ndipo mnapo onekana matapeli sasa!!... Wakati watu wengi Wana lalama kupigwa wewe Una sema Una fundisha na uliowafundisha wanafanikiwa kama Jeff Mwenzako ana wapiga wenzake huko!!..Alafu ana account fake kibao kwenye mitandao [emoji23][emoji23]!!...Jeff wakati flani kuna Tapeli Mwenzake...
Pascal mnaonekana wajinga!!..majina ya viti maalum yapo lakini hayakupelekwa kwasababu gani?!...Hawa sio viti maalum kwanini wamepeleka majina yao?!!..Nani alifanya haya?!!..
Anaenda wapi kama yeye hakustahili kuwa viti maalum anaenda wapi kama yeye pia alishiriki kuteua viti maalum ambao hawapo Bungeni?!!..hivi unaweza kuhoji kuna Mahabusu gani anatolewa Gerezani 2 Usiku?!!..unajua hichi ni nini?!!.. Nadhani Halima anajua zaidi kuliko Ndugai?!!
Waambie serikali ilikua inajua Chadema inaenda kuwa fukuza hawa na ubaya wa hili hadi watu wa Tume ya Uchaguzi walikuwepo mpaka wakati wa hukumu hii!!!..watu wamesahau Kauli ya mama hivi Karibuni!!.. wanadhani mama anataka nini?!!..
Hii uongo kuna mambo ya chama ambayo hata Lissu Tu hajui sembuse Mdee!!..Nakurudisha Kwa Slaa aliwahi kuwa Mbunge na Chama kikamkataza asiendelee alipwe mshahara wa Ubunge na malupulupu yote,akawa Katibu mkuu,Akapewa nafasi ya kugombea Uraisi!!..Na bado hakuwahi na haijui Chadema!!
Umekosea sana hapa!!.. Vyovyote ilivyo jamaa kaongea ukweli kabisa sasa wewe ungekua kweli unafanya biashara hii Kwa muda mrefu usingekuja hapa kubishana na kushambulia!!..Sasa hivi kila mtu anajua kuagiza magari Rafiki hizo bei ulizo weka ni za madalali hawajui bei zikoje na hawa miliki Magari!!!..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.