Kwa sababu tu hawajui(wamekariri) kwamba kwa points hizo hizo unaweza kwenda jeshin,nursing etc kwahio unataka kuniambia na walim wenye bachelor nao wamefeli?kama ndio walifikaje chuo?ni kasumba tu
Kasumba ya kwamba walim wamefeli haina mashiko,kuna kozi nying watu wanajoin na marks za chin sana,journalism,accounts,procurement na baadh ya kozi za afya,vyeti vya magumash vipo kila sehemu jeshin,polis had bungen mbona hao hawadharauliwi?nadhan tatzo ni walim kutojiamin,kujikubali na kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.