Salamu nyingi zikufikie hapo ulipo.
Dhumuni langu na shida yangu kuu ni kuomba msahada wa mawazo na kitaalamu. Kunatatizo limemtokea mke wangu, kwani linapelekea kunichanganya mimi na yeye pia. Kwa kifupi nikwamba;tulikuwa tunategemea kupata mtoto, nibaada ya yeye kuniambia anahisi mabadiliko...
Nashauri viongozi wetu watuongoze katika kuing'o ccm kabla ya 2015,kwa njia ya mapinduzi kama ilivyofanyika nchi nyingine za africa.Kwasababu inashindwa kutekeleza majukumu yake kama serikali,wanachokifanya zaidi ni usanii na masiala mengi kwa wananchi wake.Kwa haya yanayoendelea umu ni zaidi ya...
Mjengwa vp mambo yamekwisha kuwa magumu ingali bado mapema ivi! Mbona gaidi mkuu bado hajakamatwa ila anaendelea kupiga stori na polisi.Pia nasikia polisi wanamuogopa kutokana na kijani yake na jina la chama chake nasikia siku izi kinaitwa chama chama magaida=ccm! Siunafaha staring auwawi ila...
<br />
<br />
wanajaribu kuchakachua maandamano ya m4c. Siunafahamu wanafunzi,wafanya bihashara,wafanyakazi wa kada zote,wazazi na watu wote wanapaswa kuwepo kwenye maandamano ya chadema yaliyo chakachuliwa.Kwaiyo wanajaribu kuwagawa watu ili kuhujumu maandamano ya m4c. Nawasilisha.
Heshma yako mkuu zitto.Nakutakia kila la khery katika ujenzi wa chama chetu. Ila nakuomba zingatia ushauri mzuri waliokupatia wanajukwaa,kazi kwako kuchuja upi mzuri na unaofaa kwa chama chako na viongozi wenzio katika ujenzi imara wa chama chetu cha CHADEMA. Pia jaribu kujiweka wazi u pande...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.