Lakini huo ni MJADALA wa KISOMI katika Mazingira hayo UCHAMA unatoka wapi ndugu?? pia ilo tangazo linasema yeye atakua ni mwenyekiti wa Mjadala sasa hizo data atazipika katika mazingira gani???
binafsi SIMTETEI Magufuli, ila unavyo sema Rais Magufuli hashauriki UMEWAHI KUMSHAURI AKAKATAA?? au kuna Kiongozi wake yoyote aliye wahi mshauri Rais akakataa ushauri wake?? tuacheni maneno ya mitaani, maneno ya kusikia hayana ishu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.