Recent content by Founder Tz

  1. Founder Tz

    JamiiForums Tanzania Niambieni kuhusu biashara na mzunguko wa pesa Iringa mjini

    Wana Iringa habarini, Vipi ukuaji wa huu mji, mzunguko wa pesa, uchumi na hali ya kibiashara mjini hapo. Nafikiria kufungua hardware mjini pale, ushauri na muongozo wenu utaniokoa.
  2. Founder Tz

    JamiiForums Tanzania Kodi ya 1m - 1.5m kwa mwezi, napata frem ya aina gani Kariakoo?

    Sawa boss, nisaidie kujua frem yenye kilemba inakuwa yenye sifa zipi?
  3. Founder Tz

    JamiiForums Tanzania Kodi ya 1m - 1.5m kwa mwezi, napata frem ya aina gani Kariakoo?

    Kwani zote ni za kilemba mkkuu
  4. Founder Tz

    JamiiForums Tanzania Kodi ya 1m - 1.5m kwa mwezi, napata frem ya aina gani Kariakoo?

    Oooh ok, Hapo nimekupata mkuu. So muda mwingine ni bora ughalimike hata kama ni fremu ya chocho/corridor lakin mtaa uliochangamka ili u make bingo.
  5. Founder Tz

    JamiiForums Tanzania Kodi ya 1m - 1.5m kwa mwezi, napata frem ya aina gani Kariakoo?

    Ahsante boss, nafikiri zile za kilemba ni zile barabarani mitaa ilio na potential kubwa ya mauzo.
  6. Founder Tz

    JamiiForums Tanzania Nini sababu ya mimi kuona 11:11 mara kwa mara?

    Daah mkuu.. Elaborate boss..
  7. Founder Tz

    JamiiForums Tanzania Kodi ya 1m - 1.5m kwa mwezi, napata frem ya aina gani Kariakoo?

    Sawa mkuu, kukusumbua tena, vp na wewe ulilipa kilemba? Kupata hio frem?
  8. Founder Tz

    JamiiForums Tanzania Kodi ya 1m - 1.5m kwa mwezi, napata frem ya aina gani Kariakoo?

    Nimeona promo video boss hongera
  9. Founder Tz

    JamiiForums Tanzania Kodi ya 1m - 1.5m kwa mwezi, napata frem ya aina gani Kariakoo?

    Hongera ndugu, nahitaji kufanya biashara ya mikoba mkuu
  10. Founder Tz

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Biashara ya mashuka special (bed sheets) Kariakoo

    Hello wakuu, Nimepata idea ya business, Nafikiria kuagiza na kuuza mashuka ya quality, ukubwa na design tofauti na kuyauza kariakoo. Niambieni, nishaurini, nikosoeni, Je niko sawa? Mzunguko utakuwa mbovu? Au iko bomba? Karibu
  11. Founder Tz

    JamiiForums Tanzania Nasikia kuhusu vilemba Kariakoo, tuelemishane kiasi na mchezo mzima

    Oooh boss kwa hio boss ..hata mitaa kaam congo, aggrey na msimbazi, gerezani..unaweza kupata fremu tupu?
Back
Top Bottom