Recent content by fostner

  1. F

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Mimi na Mimi

    Fuatilia uzi unaoenda kwa title ya "mambo Gani umewahi kumuomba Mungu na akakujibu apoapo" soma comment zote za mtu anaejiuta "jidu la mabambani" naamin utapata kitu
  2. F

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Mimi na Mimi

    Kuna uzi mo Kuna uzi Moja humu humu jamii forum Kuna mtu alikua anaeleza jinsi Mwenyezi Mungu anavyotutendea, ivyo akataka wadau waeleze vile Mungu kawafanyia maajabu Kuna mtu kwenye maoni yake ameeleza hii, kua mke wake alikua na tatizo kama hili wakapitia misukosuko badae wakapata daktar...
  3. F

    JamiiForums Tanzania Kufanya biashara kunafikirisha sana hasa ukiwa na mtaji mdogo unahitaji uwe na back-up usogee

    Ukianza biashara ikawa inatoka vizuri mzigo hauchukui mda unaagiza tena wale wanaojumuisha wao wenyewe wanaanza kukushawish uchukue mzigo mpya ulipie ukishauza, Aya mambo yote utayakuta ukishaungia kwenye mfumo Bila ata kujipendekeza kwa supplier wanakutafuta wenyewe, unatakiwa kuingia kwanza...
  4. F

    JamiiForums Tanzania Kufanya biashara kunafikirisha sana hasa ukiwa na mtaji mdogo unahitaji uwe na back-up usogee

    Hey we mkaka mbona kama unajikatisha tamaa mwenyew, acha kuwaza mitaji Anza na ichoicho ulichonacho, apo kwenye hardware ulikua na shingap ambayo uliona haitoshi? Ngoja nikupe summary kidogo Mimi nimemaliza chuo mwaka Jana nilikua na mil Moja tu kesh na pia Kuna mtu nilikua namdai lak tatu...
  5. F

    JamiiForums Tanzania Tangazo la ajira za muda tume huru ya uchaguzi

    Mmh Yani watachagua ukouko kivip? Maana ni kutoka mwezi wa pili ndio ilikua deadline mpka Sasa hawajaita ata kwenye usaili
  6. F

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kuhusu hizi nafasi za kazi za muda Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)

    Ooh!! Nilidhani labda ni Mimi tu sijaona .. Asante ndugu yangu
  7. F

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kuhusu hizi nafasi za kazi za muda Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)

    Hello, ivi mpaka Sasa hawajaita kwenye usaili?
Back
Top Bottom