Recent content by foroy

  1. F

    Operesheni tokomeza Ukahaba!

    Kuna wale waliofuatwa hadi vyumbani kwenye guest houses. Unaliongeleaje hilo? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. F

    Operesheni tokomeza Ukahaba!

    Waambie hao Sent using Jamii Forums mobile app
  3. F

    Operesheni tokomeza Ukahaba!

    Umetoa suluhu la kudumu mkuu. "Makahaba wengi wala hawasimami mabarabarani..." Sent using Jamii Forums mobile app
  4. F

    Operesheni tokomeza Ukahaba!

    Umenena mkuu! Hawa viongozi mihemko hawana lolote nyuma ya haya zaidi ya kujitengenea umaarufu wao binafsi kisiasa. Ndiyo maana hawawezi kufanya haya nyuma ya camera. Nina hakika maDC wenzake wanamshangaa, ndo maana sinza, kinondoni, temeke nk...watu wanae delea kama kawaida. Sasa hawaoni kama...
  5. F

    Operesheni tokomeza Ukahaba!

    Hiyo asilimia 96 ni kwa mujibu wa sensa ipi? Mkuu unaongea kama vile hujui dunia ilipofikia. Ushenzi upo kila sehemu kwa kizazi hiki. Miongoni mwa watumiaji wa makahaba na mashoga ni viongozi wakubwa. Kuna watoto na mabinti zetu wanajiuza kwa siri pasina habari. Kuna wake za watu na bado ni...
  6. F

    Operesheni tokomeza Ukahaba!

    Serikali ingekuwa serious na hili, basi ingeanza na akina zuchu, maana ndo mabingwa wa kuanika nyuchi zao hadharani. Kuna media kibao zinaachia hewani content zinazohamasisha ngono na serikali haina habari. Jamii ipi inayojitambua? Hii ya kina Juma lokole? Hao wakamataji wenyewe ndo wateja...
  7. F

    Operesheni tokomeza Ukahaba!

    Umezungumza kama mbumbumbu mkuu. Kahaba ni binadamu kama alivyo fisadi, na wote hawa wana haki zao kama binadamu. Halafu jina la kahaba lisikutishe, kama umewahi kuingia nyumba za wageni na mwanamke asiye mkeo unaangukia pia kwenye kundi hili. Na kuonesha kwamba vita hii ni mwendelezo wa...
  8. F

    Mkuu wa Wilaya ya Ubungo adhamiria kutokomeza biashara ya ukahaba

    Na kwann nchi iendeshwe kama genge la wahuni? Hakuna organisation? Mtu mmoja anaamka na mihemko yake anaanzisha opesheni isiyo na kichwa wala miguu, wakati huo wilaya zinazomzunguka kama kinondoni, temeke na ilala watu wakiendelea kuuziana mbususu bila shida. Na kwann tunakuwa wanafiki? Hizo...
  9. F

    Operesheni tokomeza Ukahaba!

    Sana mkuu. Sijui tunaelekea wapi! Kila mtu anajiamulia anavyoona. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. F

    Operesheni tokomeza Ukahaba!

    Katika jitihada za kutokomeza ukahaba, tumeshuhudia jinsi mkuu wa wilaya ya ubungo na jeshi la polisi walivyofanya operesheni za kuwakamata wanawake na wanaume wanaodhaniwa kujihusisha na biashara hii haramu. Hata hivyo, mbinu zinazotumiwa mara nyingi zinavunja haki za binadamu kwa namna...
  11. F

    Kiongozi Muovu: Njia za kujifanya mwema kwa maslahi ya baadaye

    Katika historia ya binadamu, kumekuwa na viongozi wengi waliokuwa maarufu kwa ukatili wao, unyanyasaji, na matendo mengine maovu. Hata hivyo, inapotokea mabadiliko ya kisiasa, kijamii, au kiuchumi, viongozi hawa huweza kubadilika na kujifanya wema ili kulinda maslahi yao ya baadaye. Makala hii...
  12. F

    Mke wangu kanipa wakati mgumu

    Tangu mwanzo wa uzi huu nilitia shaka uhalali wa kisa chako. Lkn huu mwendelezo wa tamthiliya hii umehitimisha nadharia yangu, kwamba hiki ni kisa cha kutunga maana hakuna 'touch' za mtu mzima katika usilimuliaji wako. Kwa kifupi hii ni chai.
  13. F

    Mkuu wa wilaya Kigamboni asema wanajeshi wanapiga na kuua wananchi

    Unahisi tupo kwenye mtihani wa grammar?
  14. F

    Mkuu wa wilaya Kigamboni asema wanajeshi wanapiga na kuua wananchi

    Hawa wa vyeo vya chini ndio wenye shida. Wengi wao wanaingia wakitoka depo akili zinawatuma kuja kulipa visasi vya unyonge na ufakara wao. Matokeo yake ni kunyanyasa wananchi hata katika issue ndogo zinazohitaji kumwelewesha mtu.
Back
Top Bottom