Recent content by Focus2

  1. F

    Yaliyonifanya niache kununua 'Dada Poa'

    Inaendelea...! Shemale wa kwanza nilikutana naye pale masaki Wantash Club nakumbka cku hyo ilikua ijumaa nilienda kuluka debe maaneo hayo...! Kiukweli mim ni chiz music nikiwa club.,,! nadhan ndio sababu hyo shemale akawa karbu yangu coz aliniomba tucheze..! Tukaluka debe had mida ya saa nane...
  2. F

    Yaliyonifanya niache kununua 'Dada Poa'

    Uzi ulikua mkali sna aisee umenivutia sna nikikumbuka majanga yangu hapa daah..! hadi mwenyewe najiogopa..! nawaza nin kilinisukuma daah..! nagundua ni ulimbuken wangu wa kutowajua wadada mapema. Huezi amini hadi nafikisha umri wa miaka 25 nilikua siijui na wala sijawai vua chupi ya msichana na...
  3. F

    Uzi maalumu wa kufichua matapeli wa mitandaoni

    Mim ndo kiboko yao hao ukishajua ni tapeli ww jifanye boya zaid huku ukitafuta mbinu ya kumpiga yeye. ila usimpige zaid ya elfu 20 kwan nao wajanja hawachelew kugutuka mfano: mim nilikulaga 20 yao kizembe tu mpaka wenyewe wakacheka..! Mchongo ulikuaga hiv walinivutia waya wakanipa dili la madawa...
Back
Top Bottom