Recent content by focus ernest

  1. F

    JamiiForums Tanzania Kuna ubishi kidogo wa mchezo wa Jana kati ya man u vs celta Vigo, msaada jamani.

    Celta Vigo wangefuzu
  2. F

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Rais Magufuli ipo imara na haitishiwi na kelele za bungeni na mitandaoni

    Elimu bure with no teachers, no teaching materials,no apparatus for scientific practical jaman hapa kwenyew alikurupuka bas iyo elimu bure yenyew alipaswa kuwapa watoto wa walalahoi angalia sasa Leo mwanafunzi unamwambia atoe walau 100 ya test anagoma anasema free education nin kitatokea...
  3. F

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Rais Magufuli ipo imara na haitishiwi na kelele za bungeni na mitandaoni

    Elimu bure mim binafsi naipinga
  4. F

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Rais Magufuli ipo imara na haitishiwi na kelele za bungeni na mitandaoni

    Ni kweli waungwana magufuli anania njema na maisha ya wananchi ila kibaya anachofanya tena kidogo sanaa ambacho hata ambao hawajasoma wanayaona moja ya mambo hayo ni kumkingia kifua bashite pa1 na uharifu aliofanya
  5. F

    JamiiForums Tanzania Malinzi afanya fitna, Ndimbo afukuzwa kazi Times fm

    Alikuwa mtangazaji wa TBC alitoka TBC akawa msemaji wa SIMBA kipindi hicho ndipo Luis sendeu ambaye naye alikuwa mtangazaji wa TBC akawa msemaji wa yanga
  6. F

    JamiiForums Tanzania KWAKO JAMAL MALINZI

    kwa mwanamichezo mwenye kutafakar anajua fika kuwa malinzi ni yanga damu lakin kwa sababu manji alimfukuza katibu wake wa yanga tff nayo ikasubir kipind cha uchaguzi kikafika ndipo wakamwekea figisu manji ili asipite toka Lin uchaguz wa klabu usimamiwe na tff so niseme kwamba kupita kwa manji...
  7. F

    JamiiForums Tanzania Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu Magufuli kuwa ni Dikteta!

    Samahan ndugu zangun wana jf mim utawala wa magufuli naufananisha na utawala wa berishaza katika biblia,berishaza alipolewa madaraka akamkosea mungu vivyo hivyo magufuli amelewa madaraka
Back
Top Bottom