Hali ya uchumi wa Mtanzania wa kijijini ni duni sana, ukiwa mjini mzunguko wa pesa walau upo, unaweza kufanya biashara yeyote Dar ukatoka kimaisha, ukikata majani ukayarundika barabarani utapata mnunuzi, watu wanatajirika kwa kuuza maji, ndio maana asilimia kubwa ya vijana wa vijijini wanaona ni...