Ok nakushukuru kwa concern yako. Lakini mimi nimeweka post hii ikiwa ina details zote.
Habari ya research nisingependa kuiongelea lakini kama unaona bei ni kubwa na unahitaji ni bora ungepiga simu au ungesema kile ambacho wewe unakifahamu.
Kwa taarifa yako mabati hayo bei yake ni sh 42,000 hadi...
Hallo. Habari za kutwa. Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa.
Napenda kuwajulisha wale wanaojenga kuwa kuna mabati ya migongo mipana yanauzwa. yapo kama mabati mia moja yana urefu wa mita tatu (futi 10 na upana sentimita 100) rangi yake ni blue na bei yake ni sh 40,000 kwa bati moja. Ni mabati...
Hallo. Habari za kutwa. Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa.
Napenda kuwajulisha wale wanaojenga kuwa kuna mabati ya migongo mipana yanauzwa. yapo kama mabati mia moja yana urefu wa mita tatu (futi 10 na upana sentimita 100) rangi yake ni blue na bei yake ni sh 40,000 kwa bati moja. Ni mabati...
Sasa Unaweza kupata gari la ndoto yako.
Pata gari TOYOTA PASSO kwa kiasi cha Tshs 6.9milion tu.
Hiyo ni bei ya kulipia kila kitu na kulitoa bandarini.
wasiliana nasi kupitia
www.agizamagari.blogspot.com
agizamagari@yahoo.com
Karibuni sana
Habari zenu wanajamvi na watanzania wote.
Kuna magari mengi yamefika bandarini Dar Es Salaam.
Ebu angalia baadhi ya magari yaliyopo bandarini kwa sasa. angalia link hii
www.facebook.com/pages/Agiza-Magari/428343203933915?fref=ts
kwa yeyote ambaye yupo tayari kuyanunua tuwasiliane kupitia...
Habari zenu wanajamvi na watanzania wote.
Kuna magari mengi yamefika bandarini Dar Es Salaam.
Ebu angalia baadhi ya magari yaliyopo bandarini kwa sasa. angalia link hii
www.facebook.com/pages/Agiza-Magari/428343203933915?fref=ts
kwa yeyote ambaye yupo tayari kuyanunua tuwasiliane kupitia email...
Habari za jion ndugu zangu wapendwa. Poleni na majukumu ya kutwa nzima.
Napenda kuwakaribisha wale wote wenye shauku ya kumiliki magari yao kuwa sasa unaweza kupata gari/magari toka Japan kwa bei nafuu kuliko kununua kutoka kwenye yard za hapa kwetu. Hii ni kwa sababu magari mengi yanayouzwa...
Habari za jion ndugu zangu wapendwa. Poleni na majukumu ya kutwa nzima.
Napenda kuwakaribisha wale wote wenye shauku ya kumiliki magari yao kuwa sasa unaweza kupata gari/magari toka Japan kwa bei nafuu kuliko kununua kutoka kwenye yard za hapa kwetu. Hii ni kwa sababu magari mengi yanayouzwa...
Habari za jion ndugu zangu wapendwa. Poleni na majukumu ya kutwa nzima.
Napenda kuwakaribisha wale wote wenye shauku ya kumiliki magari yao kuwa sasa unaweza kupata gari/magari toka Japan kwa bei nafuu kuliko kununua kutoka kwenye yard za hapa kwetu. Hii ni kwa sababu magari mengi yanayouzwa...
kuna hii iPad nimeiona ebu naomba unisaidie kuniambia gharama zake zote ikiwa ni shipping pamoja na commision yako ni kiasi gani
Apple iPad 2 16GB Wi Fi 9 7in Black MC769LL A 5052181577463 | eBay
Hongera ndugu kwa kupata kazi. Mshukuru Mungu na uwasaidie wengine. usiasahau mahali ambapo Mungu amekutoa.
Na hata kwa wale mnaotafuta kazi usikate tamaa unapoona mtu anafanikiwa hivi maana yake ni kuwa na wewe ipo siku utafanikiwa. Hata mimi pia niliwahi kupata kazi kupitia matangazo ya hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.