Recent content by Flynn walter

  1. F

    Sehemu gani naweza kujifunza kunyoa hapa Tanzania?

    sijui watu wanaichukuliaje mtu kuwa proffessional barber
  2. F

    Sehemu gani naweza kujifunza kunyoa hapa Tanzania?

    ila kuna chuo kweli cha kinyozi au ni mtaani tuu watu wanafundishana m mimi nilifundishwaga na mshikaji tuu ila kwa nchi za wenzetu ni very very serious professional
  3. F

    Sehemu gani naweza kujifunza kunyoa hapa Tanzania?

    nakumbuka kipindi nimemaliza chuo nilikua nanyoaga wakati natafuta ajira na kweli ilinichukua muda mfupi kujifunza ili niokoa sio siri wakati huo
  4. F

    Mbuzi 50

    mix haina shida
  5. F

    Mbuzi 50

    Nipo Dar es salaam ntashukuru kwa hilo
  6. F

    Mbuzi 50

    Habari ndugu zangu, nimekuwa nikifutiwa na kilimo pamoja na ufugaji kwa muda mrefu sana. Nataka nianze na ufugaji kwanza natafuta mtu wa kuniuzia mbuzi 50 kwa bei nzuri, na kama bei itakuwa nzuri zaidi ntachukua mbuzi 100 wa kuanza nao. Nitajie bei yako ( whatsapp contacts 0685068828 )
  7. F

    Computer4Sale Hp laptop 430 g6 naiuza

    HP laptop 430 g6 storage 512 GB Ram 8 GB processor Intel(R) Celeron(R) 3205U @ 1.50GHz 1.50 GHz bei 290,000, namba yangu 0685068828
  8. F

    Anahitajika Mwalimu wa Video production & Editing, Graphic design & Motion Media

    ommy nicheki naona sijaiona ipo whatsapp 0685068828
  9. F

    TOSHIBA external 1 TB na SATA 3.0 kwa 55,000 tu

    Dar es salaam Ubungo maji
  10. F

    TOSHIBA external 1 TB na SATA 3.0 kwa 55,000 tu

    Nauza Toshiba external yenye ukubwa wa 1 TB na pamoja sata 3.0 kwa 55,000 tuu. contact 255 685068828
  11. F

    INAUZWA External and SATA 3.6 karibu nauza

    External (TOSHIBA 1 TB )na pamoja ya SATA nauza kwa gharama ya 50,000 whatsapp; 255685068828
  12. F

    Hermes sandals size 42

    zipo bado, naishi changanyikeni Ubungo
Back
Top Bottom