Wewe ndiyo mburula maana hata hesabu hujui!!! Si ajabu ndiyo nyie mnaopata F tu kwenye Mathematics. Kama alilenga 700milioni angeandika 700milioni na siyo 700,000,000milioni
Mleta uzi kasema shilingi 700,000,000miln na wewe hesabu yako ni 700miln. Sasa idadi yote ya pesa ni 700,000,000milioni au 700milioni? Maana hizo ni figure 2 zenye thamani tofauti kabisa!!!
Huu ni udikteta ndiyo maana Sheria hiyo inapigiwa kelele sana. Si ajabu nayo imo kati ya zile sheria kandamizi zilizoaininshwa na Tume ya Jaji (marehemu) Francis Nyalali ambazo zinatakiwa kufanyiwa marekebisho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.