Aaaaah nna mark x ya cc 3000... Nilishaweka gps kuona inafika ngapi sanbabu dashboard in a 180... Mzee ... babat arusha ukitoka mbuyu wa mjerumani... Kitu ilisoma 260 na inaenda... Kaka ukikutana na huu mziki utatafuta had kesho
Salama wakubwa
Mi ni mdau wa Apps, nimefanikiwa jitahidi develop app inaitwa video 4 me iko playstore tayar inadeal na videos. Sasa kazi kubwa ilikua ni kuipromote ili ipate installs. So nikaona njia rahis nitumie Sponsored ads za facebook kutumia app install... CPI... Mwanzon niliweka...
Eneo liko Msalato almaarufu kwa mwinyi (Arusha Road) kunakojengwa Dodoma International Airport. Eneo liko barabarani linapakana na hotel ya kitalii ya FANTANCY.....lina ukubwa wa ekari 3.77, Eneo limepimwa na limeingizwa kama lilivyo kwenye master plan ya jiji la Dodoma kama ilivyo onekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.