Hahahahahaaaaa, hii ni Afrika, Kiswahili ni Lugha yetu ya Taifa, ni moja kati ya lugha zinazotambuliwa Afrika. Huwa najivunia nikiona Mtanzania anazungumza Kiswahili kimataifa. Ila rais wetu mara chache sana hufanya hivyo hata kama inawezekana.
Tumuulize huyo gamba, Kilichomsibu ni nini ndugu...
Napenda kuwapongeza, kwa yote mliyoeleza, naona kama mnacheza, sijui kama watasikiliza, maana ni meng yalooza, lakin wanajipongeza, nazid kujiuliza, nani atuliwaza?, je wa kaki wanaweza? Ila Magamba yashaoza, na iman yetu walishapoteza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.