Yericko Nyerere, umeeleza historia ndefu iliyojaa sababu lukuki za kujitetea jambo ambalo nilitarajia maana imekuwa ni mila na desturi ya kutokubali kushindwa. hebu tujiulize swali dogo sana, Hivi huko Kilimanjaro, Arusha na Njombe ilikoshinda chadema daftari la wapiga kura liliboreshwa? Ifike...
Unapojadili watu maarufu (Public figure) kama Rais wa nchi, ni busara kujadili/ kutoa taarifa za uwajibikaji wake kwa nafasi aliyonayo, na si kufocus maisha binafsi (Personal life) peke yake kwani huweza kuficha (mask) mapungufu au mazuri waliyonayo katika nafasi walizonazo. Kwa mfano Nimegoogle...
Fikirisha akili yako kwanza kabla hujachangia maada, usikurupuke. Jaji walioba anamanisha matatizo ya kikatiba na sheria ambayo ndo msingi wa matatizo yote hata hayo madogomadogo ya kijamii unayoyafahamu wewe. Ni kweli Majaji ndo watu wa level ya juu katika taaluma ya sheria duniani kuliko watu...
Hizi taarifa zingekuwa zinatoka upande wa pili kwenye kijani na njano, swali la kwanza lingekuwa WEKA PICHA, Great Thinker tuache kuwa bias, tujitofautishe na magazeti ya Uhuru & Tanzania Daima. Taarifa kama hii bila picha haina tofauti na udaku
Bwana Ben Sanane, Chama kinapopata wanachama wasomi (Prof. & PhD) ni wazi kuwa si tu kimeongeza idadi ya wanachama, bali kimeongeza wanachama wanaokipa chama hadhi ya kitaifa na kimataifa, kinapata wanachama wanaoweza kukiwakilisha katika majukwaa ya kimataifa, pamoja na uwezo mkubwa wa...
Hizo zilipendwa....................
naona umekaa ki-opportunistic zaidi, kwa mtazamo wako watu kama Tundu Lissu, Godbless Lema, Mch. Msigwa, Joseph Mbilinyi, John Mnyika et al., wamefanya kazi kubwa zaidi kuliko wengine hapo chadema !!!!!!!!!!!???????????????
si kila tuhuma inaulazima ya kuijib, tuhuma kama hii ya ufinyu wa kufikiri na kuonesha dalili ya mfamaji........... inahitaji moyo na kujishusha kwa hali ya juu kuijibu. lakini kama utakuwa umeisoma kwa kuielewa namimi utakubaliana na mimi kuwa majibu ya CUF ni dongo kwa CDM. Ukishakuwa na...
Akanushe ili iweje wakati kishakubali kuwa Baniani mbaya kiatu chake dawa..........!!!!!!
Mimi ni mbunge, bungeni nimekuwa nikichangia watu mbalimbali mimi kama Freeman, si ajabu watu wengine kunichangia. Hapa jambo la msingi ni kwamba unapewa pesa kwa sababu gani, kwa nia ipi? Kupewa pesa na...
Ukiusoma waraka husika hakuna ushahidi wa moja kwa moja usiokuwa na shaka unaomuhusisha zzk, kuwepo kwa watu wengine kukiri kuhusika kuuandaa na kukanusha kuwa zzk hausiki na hata haujui ni kikwazo kisheria katika kuthibitisha kuhusika kwa bwana zzk, kutajwa peke yake ni ushahidi dhaifu...
"Mapenzi juu ya jambo fulani yanapozidi Busara, hupunguza uwezo wa kufikiri............. Angekuwa ni Tundu Lisu amekoti vipengele hivihivi vya katiba ya CDM, ungesifu mpaka................ Jamani haya mabo ni ya kisheria zaidi, tuwachie watalammu wa hii fani. Akina Lisu pamoja na jopo lake nao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.