Recent content by Fire Extinguisher

  1. Fire Extinguisher

    Kama TBC 1 wanaona gharama, ITV waruhusiwe kurusha Bunge LIVE

    Tumechoka kuangalia upumbavu, bora kutoona bunge kabisa, haiwezekani majitu yanasaini na kuchukua posho ambazo ni kodi ya walala hoi, alafu hakuna wanachofanya kazi kuzomeana, lumbaneni kwa hoja na c matusi na kashfa. Serikali kupitia bunge hilo hilo lipitishe sheria ya kutomlipa mbunge yeyote...
  2. Fire Extinguisher

    Watanzania tusidanganywe hakuna kodi ya trilioni 1.4 iliyokusanywa

    Walipewa siku 7 kwasababu walikwepa kodi ya awamu ya nne, wakwepe na awamu hii waone.
  3. Fire Extinguisher

    Watanzania tusidanganywe hakuna kodi ya trilioni 1.4 iliyokusanywa

    Ametumwa, jioni achukue buku 7 zake.........
  4. Fire Extinguisher

    Watanzania tusidanganywe hakuna kodi ya trilioni 1.4 iliyokusanywa

    Sasa mbona unajitekenya mwenyewe,, na unacheka mwenyewe. Hata kama wamekusanya madeni ya nyuma si yamekusanywa mwezi wa kwanza, au ulitaka wachambue kwamba kiasi kadhaa ni kodi iliyokwepwa na kadhaa ndo imekusanywa its nonesense, iliyokusanywa imekusanywa tuu.
  5. Fire Extinguisher

    Mbunge wangu Kubenea achana na siasa za (antagonize) za kina Mnyika, utakuja kimbia Ubungo

    Serious kwa lipi? kwenye kampeni wamekuwa wakipiga kelele ooh tutaboresha mtandao wa maji,elimu,barabara na huduma za afya, wewe leo unatuambia kazi ya kusambaza maji ni ya DAWASA, kwahiyo uanataka wananchi waende kudai maji DAWASA wakati walimuweka hapo ili kuwawakilisha.Shame on you, Sasa hivi...
  6. Fire Extinguisher

    Lowassa kuwa Mwenyekiti na Sumaye kuwa Katibu Mkuu CHADEMA

    Chadema kitakuwa chama cha Kifisadi, maana manyangumi wote wamekimbilia huko. Hivi wadau kingunge, masha, na mwapachu wako wapi? Au limetimia lile neno Ukawa itageuka Ukiwa. By Nyumbu kigeu geu.
  7. Fire Extinguisher

    Lowassa kuwa Mwenyekiti na Sumaye kuwa Katibu Mkuu CHADEMA

    Kweli mkuu mbowe hata cdm ikifa leo, yeye yuko fiti.
  8. Fire Extinguisher

    Mhe. Freeman Mbowe amkabidhi rasmi kadi ya CHADEMA Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye

    Chadema is no longer a political party, is just a genge la wahuni na mafisadi. Go sumaye.
  9. Fire Extinguisher

    Mhe. Freeman Mbowe amkabidhi rasmi kadi ya CHADEMA Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye

    Chadema ni kama jua la utosi, likikupiga huwezi ona kimvuli chako. So chadema kitakuwa chama cha tatu kwa upinzani, baada ya ACT na CHAUMA, na sumaye ilikuwa ni lazima ahamie chadema cause ni chama cha ukanda,ukabila,urutheli nk.
  10. Fire Extinguisher

    Kwa Prof Muhongo na Mwakyembe, Rais Kateleza kuwateua kwenye Baraza

    Muhongo kama lowassa hawakuwa na hatia na mwenye ushahidi aende mahakamani.
  11. Fire Extinguisher

    CCM tuna hali mbaya sana, inasikitisha kweli!

    Mfumo unaruhusu, ila ishu inakuwa ngumu ukimpa mpinzani uwaziri means unajikaanga kwa mafuta yako mwenyewe, Sitaweza kumsahau mbatia mbunge viti maalumu wa kikwete, alivyo sumbua.
  12. Fire Extinguisher

    Juma Duni kubaki CHADEMA?

    Karudi cuf, huku cdm ilikuwa dili tu. Kwi kwi kwi kwi kwikwikwikwikwi.
Back
Top Bottom