Masters gani hata hekima huna unatutukana tu watu wazima ovyo hadi tunajihisi kama tumemvamia chizi, tafuta hekima kwanza ya ku behave kama mwanamke kwa heshima ndio hio elimu yako tutaiona ina msaada kwako,
Swali la kizushi,: Hivi nliskiaga mtu akisoma sana anachanganyikiwa ni kweli?🤣
We sema tu ukweli kua " mme wangu mi hanihudumii ipasavyo kuacha kazi haitowezekana lazima nichape kazi nimtawale , sio unakuja na stress zake hapa unatutukana forum nzima"🤣 kani tumekuoa forum nzima , si uliolewa kwa hiyari yako kubali kutawalika🤣🤣
🤣🤣🤣 Super Woman ashapaniki stress zimemtia uchizi, huku anatukana kila mchangiaji hadi mleta mada , afu anajisifu, She is a good wife, and beautiful woman kisa hatumuoni,
You can't fight nature, mwanamke alishaumbwa kuwa chini tu, , shida ya nyi feminist, mmealibiwa kisaikolojia kwa kuaminishwa kua unatakiwa kufanya kazi kumshinda mwanaume, ndio hapo mnapofeli, na wakati sisi wanaume tunafanya kazi kutatua changamoto za uchumi wa familia
Hata andika yako...
Andika yako inaonesha dhahiri kuwa una stress 50/50 imekualibu kisaikolojia, ngoja nikwambie hakuna kitu kizuri kwa mwanamke alie kwenye ndoa kama feeling za kutegemeana, mke kumtegemea mume katika mambo yanayomuhusu mume na mume kumtegemea mke katika mambo yanatomhusu mke huwa inaleta sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.