Mimi kwa mtazamo wangu naona kuvunjika kwa ndoa kunasababishwa na wanandoa wenyewe na sio ndugu wa upande wowote ule, kama kuna upendo Kati Yao then ndugu wataona aibu kuingilia kati! Cz wanajua kabisa haawatasikilizwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.