Recent content by fimboyaasali

  1. fimboyaasali

    Wana Yanga SC si vibaya sana kama mkituchagulia Sisi wana Simba SC namna ya Kujipoza na Kipigo chenu Kwetu cha jana

    mimi naunga mkono simba iwe namba 2 azam sipendi wawe namna 2
  2. fimboyaasali

    Saidoo anaaga Simba? Tazama hapa alichopost hivi punde

    ataenda kengold
  3. fimboyaasali

    Live coverage Azam ni mbaya

    nimeona japo kwa sasa wanaweka mitambo ya dtt kwa baadhi ya mikoa
  4. fimboyaasali

    Live coverage Azam ni mbaya

    azam wamewekeza mpaka wana digiltal terrestial broadcasting equipment,haistahili hii hali hii
  5. fimboyaasali

    Live coverage Azam ni mbaya

    kwa uwekezaji wa azam mpaka wana dtt,haistahiki kuwa hivi
  6. fimboyaasali

    Live coverage Azam ni mbaya

    Ukiacha matangazo ya mpira,matangazo mbashara ya taarifa za habari,ama adhuhuri au alaasiri ni mbaya sana,picha mbaya sauti mbaya,hebu tafuteni ufumbuzi wa hili
  7. fimboyaasali

    Kwenye soka Mhhindi hawezi kushindana na Muarabu. Kwa hali hii Yanga mpaka 2030

    acheni kutaja makabila ya watu,kuhusu muhindi kwani hamkumbuki muhindi gulamali alimgalaza mwarabu bakhressa?
  8. fimboyaasali

    Kwanini Mwamnyeto huwekwa benchi

    Ni kwamba Mwamnyeto ana hufanya makosa mengi sana
  9. fimboyaasali

    Kiki za kijinga zimemgharimu GB 64

    na muulize huyo gb 64 ashawahi kuchangia simba japo laki moja?
Back
Top Bottom