Nimekukubali Kiongozi kwa majibu yako yenye tija! Ila ukae ujue kuwa wengi kati ya wale wanaompinga Zitto ni mamluki waliovaa mask.Kazi yao ni moja ni kuvuruga akili za wasio nazo za kutosha.
Kiukweli naungana na wewe katika hili. Matatizo hutatuliwa na sio kuhairishwa. Hili suala la ZNZ Limehairishwa vya kutosha sasa iliyobaki ni kupatiwa ufumbuzi ambao kwangu naona ni kuwaacha Wazanzibar wajiamulie wenyewe wanachotaka kwa sasa ili kama ni kuvunjika uvunjike kama ni kuendelea nao...
You may fool all the people some of the time, you can even fool some of the people all of the time, but you cannot fool all of the people all the time. Lincoln, Abraham
Wengi ya watu wanachangia kwa jazba na nafikiri pia kuna wachangiaji humu wametumwa kuvuruga zaidi na sio kujenga. Ni wakati wa busara zaidi kuliko kukurupuka katika hoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.