Recent content by FIKRA YAKINIFU

  1. F

    JamiiForums Tanzania Ushauri wenu unahitajika: Boss wangu anataka kunidhulumu mshahara wangu

    pole sana ndugu kwa tatizo lako hilo. Nakushauri muone afisa elimu wa mkoa wako kwa ufumbuzi wa haraka juu ya tatizo lako au Katibu tawala wa mkoa. Hao wana mamlaka ya juu ktk suala lako kulipatia maamuzi,
  2. F

    JamiiForums Tanzania Nahitaji laptops za bei ya jumla( used).

    uko wapi mkuu? taja specification nikuuzie kwa bei nzuri au nitumie namba yako pm.
  3. F

    JamiiForums Tanzania Taratibu za kufuata katika kuagiza bidhaa za vinywaji kutoka nje ya nchi

    ok mkuu nawasubiri coz nimeona ni fursa nzuri ya kupata fedha
  4. F

    JamiiForums Tanzania Taratibu za kufuata katika kuagiza bidhaa za vinywaji kutoka nje ya nchi

    Habari yenu wana JF, Naomba msaada kwa anaeelewa taratibu za kuagiza vinywaji moto na baridi kutoka nje ya nchi. Gharama za ushuru mpakani zipoje kwa vinywaji? TFDA au TBS ni mamlaka ipi inaruhusu au kuidhinisha uingizwaji wa bidhaa hizo? Mimi nipo Mbeya nataka kuagiza vinywaji kutoka nchi za...
Back
Top Bottom