Uprofesa ni Utabiri. Prof TIBAIJUKA alitumia uprofesa wake kumshauri LISSU kuwa akubali warudi Bungeni. Kukataa kwake Lissu hakujamsaidia na Katiba imepita. Kwa hiyo TIBAIJUKA kadhihirisha Uprofesa wake.
Mwansheria na Katibu wa Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Kampuni ya Pan African Power (PAP), Joseph Makandege amesema baadhi ya watu wanaichafua IPTL kwa sababu zao binafsi, huku ukweli ukifichwa.
Makandege alibainisha kuwa, baadhi ya watu wanatumiwa kuichafua IPTL huku akisisitiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.