Recent content by Fikiri Kisomi

  1. F

    Profesa Tibaijuka aongoza maadhimisho ya miaka 69 ya Umoja wa Mataifa (UN)

    Hii ni dalili kuwa tayari TIBAIJUKA ameshaandaliwa kukalia kiti cha Ikulu, amepewa nafasi afanye mazoezi ya kukagua gwaride japo wakati haujafika
  2. F

    Kongamano vijana wa Mkoa wa vyuo Vikuu TBC1

    Uprofesa ni Utabiri. Prof TIBAIJUKA alitumia uprofesa wake kumshauri LISSU kuwa akubali warudi Bungeni. Kukataa kwake Lissu hakujamsaidia na Katiba imepita. Kwa hiyo TIBAIJUKA kadhihirisha Uprofesa wake.
  3. F

    Ripoti ya IPTL imekamilika na sasa kuwasilishwa bungeni mwezi November

    TIBAIJUKA yumo au hayumo? Kama yumo ashitakiwe, na kama hayumo aende mahakamani akadai fidia
  4. F

    Kongamano vijana wa Mkoa wa vyuo Vikuu TBC1

    Ndugu yangu, kati ya maprofesa wa ukweli na makini tulionao, TIBAIJUKA ni no.1. Ni muwazi na sio mbabaishaji. Salute Prof Anna
  5. F

    Mwanasheria IPTL acharuka

    Mwansheria na Katibu wa Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Kampuni ya Pan African Power (PAP), Joseph Makandege amesema baadhi ya watu wanaichafua IPTL kwa sababu zao binafsi, huku ukweli ukifichwa. Makandege alibainisha kuwa, baadhi ya watu wanatumiwa kuichafua IPTL huku akisisitiza...
Back
Top Bottom